Hivi ni sahihi kweli kwa Mwanaume kutumia maneno haya...?

Hivi ni sahihi kweli kwa Mwanaume kutumia maneno haya...?

Inaboa sana unakuta Dume zima na mindevu yake linatumia misemo hii:
-Umedamshi
-Unadanga
-Kama lote vile
-Nyooo
-Jibebe
-Umependezaje
-Utapa tabu sana* (New version)
-Tunanyapia nyapia
-Ubuyu
-usinikaushe uzazi
-Unikome mwana wa mwenzio
-Na baadooo
-Aku Babu wee
-Mwaya
Maeneo mengi ya Dar ni kawaida sana kumkuta mwanaume anatumia hiyo.misemo halafu hata aibu haoni,kuna maneno hayajakaa kiume mazee.
"UTAPATA TABU SANA" Founder wake ni mwanaume kutoka mkoani....sijui una lipi la kusema hapo.......kwamba mkoani ndo wanaanzisha ama nini
 
Inaboa sana unakuta Dume zima na mindevu yake linatumia misemo hii:
-Umedamshi
-Unadanga
-Kama lote vile
-Nyooo
-Jibebe
-Umependezaje
-Utapa tabu sana* (New version)
-Tunanyapia nyapia
-Ubuyu
-usinikaushe uzazi
-Unikome mwana wa mwenzio
-Na baadooo
-Aku Babu wee
-Mwaya
Maeneo mengi ya Dar ni kawaida sana kumkuta mwanaume anatumia hiyo.misemo halafu hata aibu haoni,kuna maneno hayajakaa kiume mazee.

Sometime maneno yana reflect uhalisia wa mtu na tabia zake we chunguza utakubaliana nami.
 
Hahahahhaa
Ngoja waje wenye maneno yao
 
Kutokuwa nakazizakufanya nitatizo, hatahayo yanakupotezea muda! Njoo mikoana hatunahuo muda.
 
Tukumbushane uliwahi kuiona surahii wapi?
bramanadam%20funny%20images.jpg
 
hivi mleta mada unamjua hata aliyeanzisha hilo neno la utapata tabu sana
 
Utapata tabu Sana sio baya ila hayo aliyobaki achunguzwe kama havai shanga
 
Kama hadi utapata tabu sana ni la kike acha niwe mwanamke tu

Hayo mengine sio kweli kabisa mwanaume kutumia
Sema wanaume wa dar wanashida sana
 
"UTAPATA TABU SANA" Founder wake ni mwanaume kutoka mkoani....sijui una lipi la kusema hapo.......kwamba mkoani ndo wanaanzisha ama nini
Mtoa mada kasema new version ya hilo neno linatumika kishoga shoga hasa baada ya Wale wapuuzi wa Clouds kulishikilia bango kwenye kile kipindi chao
 
Back
Top Bottom