Hivi ni sahihi kweli kwa Mwanaume kutumia maneno haya...?

Hivi ni sahihi kweli kwa Mwanaume kutumia maneno haya...?

Hiyo usinikaushie uzazi maana yake nini mkuu, tafadhali!
 
Mleta uzi kaja na povu kama lootree vile.

Ila mleta uzi kila neno au kitu kinaendana na mahali na wewe uchukuliavyo.

Mfano: ukiwa kwenye basi kisha mama mwenye mtoto mchanga akatoa ziwa lake na kumbyonyesha mtoto wake aliyekuwa analia njaa. Hakika haitakukera ila amini ukileta umbea wa kumuangalia yule mama kwa zaidi ya dakika 5 lazima utakereka na tendo lake la kumpa dogo chakula.

Ndio kama wewe sasa umesikia neno kudamshi ukaruhusu masikio na ubongo wako kufanya shughuli ya umbea sasa hayo maneno yanakukera.

Mkuu wapotezee tu maisha hayaitaji uwe serious sana.
 
Wale wa hili neno wameagizwa pa kuingia
FB_IMG_1537856898021.jpeg
 
utakuta mwengine anasema "Kizazi sana mzazi" sasa nashindwa kuelewa wanamaanisha kizazi cha kuzaa ama? wanaume wa mkoani bwana.
 
Aliyelianzisha si unamjua, mwanamme wa kwanza Tz!
New version(ndio maana nimeweka nyota) ya hilo neno limewekwa kicho.ko cho.ko sana,by the way sijasema ni kosa kulitumia ila ni kwamba haipendezi kutumiwa na Wanaume
 
Usinikaushe 'uzazi' sihawahi kulisikia likisemwa popote.
Je hutumika kwenye maongezi ya aina gani?
Tengeneza sentensi ya mfano ulitumie nione linakaaje kimantiki!
 
Back
Top Bottom