rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,032
- 18,540
Hapana. Pamoja na kwamba ni maajabu na siyo sawa mtoto kufika darasa la 3 na hajui kusoma wala kuandika. Hao walimu wanatakiwa wampe special programme ya kumfundisha na siyo kumrudisha nyumbani.
Sasa kama ni hivyo shule ziko kwa ajili gani? Hao wazazi wangeweza kumfundisha nyumbani wangeshafanya hivyo lakini inavyoonekana hawana uwezo huo.
Hiyo special programme wampe kwa gharama za nani sasa??