Hapana. Pamoja na kwamba ni maajabu na siyo sawa mtoto kufika darasa la 3 na hajui kusoma wala kuandika. Hao walimu wanatakiwa wampe special programme ya kumfundisha na siyo kumrudisha nyumbani.
Sasa kama ni hivyo shule ziko kwa ajili gani? Hao wazazi wangeweza kumfundisha nyumbani wangeshafanya hivyo lakini inavyoonekana hawana uwezo huo.
si sawa,Mtoto ameondolewa/fukuzwa shule ya Serikali kisa hajui kusoma wala kuandika.
Mtoto huyo yupo darasa la tatu alikuwa anasoma shule ya kulipia sasa Baba yake kapunguzwa kazini na hivyo kumlazimu kumpeleka mtoto shule ya Serikali.
Lakini cha kushangaza baada ya miezi 3 mzazi anaitwa shuleni na kuambiwa kuwa mtoto hajui kusoma wala kuandika hivyo arudi akasomee nyumbani.
Mzazi akarudishiwa makaratasi yote ya uhamisho na sasa mtoto yupo nyumbani.
Je ni sahihi?
kuweni na akili basi na nyinyi hana akili? hawajui wazazi wake,hajui kwenda chooni ana jinyea? hajui mema na mabaya? sema tu anatatizo la ubongo kutotunza kumbukumbu sababu ya matatizo mbali mbali iwe ya lishe,afya na saikolojia we ndo huna akili mkuu kwa sababu hujui kutofautisha kati ya kuwa na akili(kujitambua,au kuwa na maarifa) na ubongonkutunza kumbukumbu(kukalili kitu na kukihifadhi kwenye ubongo)Kkufupi amegoma kuwa na akili
Akili zinatolewa bure yeye kagomea
Huyo JPM angetawala milele? Je kabla yake walimu walikuwa hawafundishi?Rip JPM, walimu walikuwa wanafanya kazi yao vyema si sasa, wamekaa kiupigaji na kimichongo.
Labda nikuulize swali moja, kwa nini baadhi ya wazazi hupeleka watoto wao kusoma tuition?Hiyo special programme wampe kwa gharama za nani sasa??
Achana na hao mabwege, kama mtoto kafika std3 hajui kusoma na kuandika either kwa english au kiswahili kuna shida sehemu na hyo shida ndo inatakiwa itafutiwe ufumbuzi, ni ufumbuzi unatakiwa na siyo kufukuza. kuna watoto wanamaliza std 7 vijijini huko hawajui kusoma wala kuandika, hapo ni kwamba tatizo lilishinwa kutafutiwa ufumbuzi mapema ndo ikawa hvo.kuweni na akili basi na nyinyi hana akili? hawajui wazazi wake,hajui kwenda chooni ana jinyea? hajui mema na mabaya? sema tu anatatizo la ubongo kutotunza kumbukumbu sababu ya matatizo mbali mbali iwe ya lishe,afya na saikolojia we ndo huna akili mkuu kwa sababu hujui kutofautisha kati ya kuwa na akili(kujitambua,au kuwa na maarifa) na ubongonkutunza kumbukumbu(kukalili kitu na kukihifadhi kwenye ubongo)
Sahihi kabisa alipaswa arudishwe mwaka na sio kufukuzwa shule.Sio sahihi, na badala yake walimu walipaswa wamshauri mzazi amrudishe mwanae akaanze darasa la kwanza.
Lakini pia hapo naona kama ni uzembe wa mzazi kutokua mfuatiliaji wa maendeleo ya mwanae alipokua kwenye shule ya kulipia.
Hiyo ni GBV, Gwajima dMtoto ameondolewa/fukuzwa shule ya Serikali kisa hajui kusoma wala kuandika.
Mtoto huyo yupo darasa la tatu alikuwa anasoma shule ya kulipia sasa Baba yake kapunguzwa kazini na hivyo kumlazimu kumpeleka mtoto shule ya Serikali.
Lakini cha kushangaza baada ya miezi 3 mzazi anaitwa shuleni na kuambiwa kuwa mtoto hajui kusoma wala kuandika hivyo arudi akasomee nyumbani.
Mzazi akarudishiwa makaratasi yote ya uhamisho na sasa mtoto yupo nyumbani.
Je ni sahihi?
PointsInawezekana wala sababu sio kutokujua kusoma na kuandika, kuna uwezekano dogo anagonga ngeli waalimu wa kayumba hawamwelewi, hebu hili nalo lichunguzwe, huko kayumba watoto kibao wanamaliza la saba hawajui kusoma wala kuandika.
sio sahihi kabisa, arudishwe darasa na aanze kufundishwaMtoto ameondolewa/fukuzwa shule ya Serikali kisa hajui kusoma wala kuandika.
Mtoto huyo yupo darasa la tatu alikuwa anasoma shule ya kulipia sasa Baba yake kapunguzwa kazini na hivyo kumlazimu kumpeleka mtoto shule ya Serikali.
Lakini cha kushangaza baada ya miezi 3 mzazi anaitwa shuleni na kuambiwa kuwa mtoto hajui kusoma wala kuandika hivyo arudi akasomee nyumbani.
Mzazi akarudishiwa makaratasi yote ya uhamisho na sasa mtoto yupo nyumbani.
Je ni sahihi?
Huo ni mzigo wa serekali sio mzazi. Ni aibu sana kwa mtoto kushindwa kusoma na waalimu wapoMtoto ameondolewa/fukuzwa shule ya Serikali kisa hajui kusoma wala kuandika.
Mtoto huyo yupo darasa la tatu alikuwa anasoma shule ya kulipia sasa Baba yake kapunguzwa kazini na hivyo kumlazimu kumpeleka mtoto shule ya Serikali.
Lakini cha kushangaza baada ya miezi 3 mzazi anaitwa shuleni na kuambiwa kuwa mtoto hajui kusoma wala kuandika hivyo arudi akasomee nyumbani.
Mzazi akarudishiwa makaratasi yote ya uhamisho na sasa mtoto yupo nyumbani.
Je ni sahihi?
lazima huyo mtoto atakuwa na matatizo siyo bure, haiwezekani mtoto wa darasa la tatu tena wa private school ashindwe kusoma na kuandika.Darasa la tatu hajui kusoma na kuandika, sasa huko shule za kulipia alikuwa analipia nini!?