Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
Nimecheka kwa sauti hapaHuenda yeye ndiye anayetafunwa...
Daaah!Huenda yeye ndiye anayetafunwa...
Ni sawa ila kwa makelele kupita demu unayemtafuna sijui km ni sawaTatizo liko wapi mwanaume akigugumia kwa furaha ?
🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nasikia nao wanapenda hvyo
Inategemea ana asili ya wapi. Wengine utamu kumoyo ukikolea kuguna suna atiKuna huyu jamaa jirani na nyumba niliyopanga, aisee nimeshindwa kumwelewa, akiwa huko faragha na mpenzi wako anagugumia/kulia kimahaba MPAKA kero....yaani wakigegedana huko yeye ndio anatoa makelele kupita hata huyo demu wake.
Sasa nimejiuliza hii ni kawaida kweli??, kikawaida na uzoefu wangu najua mwanaume anagugumia kimya kimya kwa sauti ndogo ila huyu jamaa yeye anapiga mikelelee hatari
Nimecheka kibwege mpk jirani hapa kashangaaHuenda yeye ndiye anayetafunwa...
Hahahaha....utaishia kuchekaa Sanaa, jamaa anapiga kelele utasema kachungulia kifoHauna ka audio na sisi tukakasikiza? Isije kuwa unamsingizia
Ewaa!! Wengi wape....huyu jamaa mzuka wake labda upo kwa kupiga makeleleInategemea ana asili ya wapi. Wengine utamu kumoyo ukikolea kuguna suna ati
Siwezi kuchangia mpaka nisikikize hiyo sauti.
Msiingilie haki za faragha. Ule wakati Mungu huwa anakata neva zote za fahamu, purposely.