Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupiga chabo inaingiaje hapo mkuu??Wewe ni mpiga CHABO.
Kuna mdau hapo Juu anataka kutuaminisha huenda jamaa anapewa shimo haramuMwamba anazidiwa na mautamu bhana πππππ
πππππ kwamba anakula kisamvu cha kopo.Kuna mdau hapo Juu anataka kutuaminisha huenda jamaa anapewa shimo haramu
Huyo jamaa ni weweKuna huyu jamaa jirani na nyumba niliyopanga, aisee nimeshindwa kumwelewa, akiwa huko faragha na mpenzi wako anagugumia/kulia kimahaba MPAKA kero....yaani wakigegedana huko yeye ndio anatoa makelele kupita hata huyo demu wake.
Sasa nimejiuliza hii ni kawaida kweli??, kikawaida na uzoefu wangu najua mwanaume anagugumia kimya kimya kwa sauti ndogo ila huyu jamaa yeye anapiga mikelelee hatari
Eti, Mimi sikuwaza hvyo kabisaπππππ kwamba anakula kisamvu cha kopo.
Kama sio ww unayegugumia basi Mzee acha tu kufuatilia au kusikiliza mambo ya watu.Kuna huyu jamaa jirani na nyumba niliyopanga, aisee nimeshindwa kumwelewa, akiwa huko faragha na mpenzi wako anagugumia/kulia kimahaba MPAKA kero....yaani wakigegedana huko yeye ndio anatoa makelele kupita hata huyo demu wake.
Sasa nimejiuliza hii ni kawaida kweli??, kikawaida na uzoefu wangu najua mwanaume anagugumia kimya kimya kwa sauti ndogo ila huyu jamaa yeye anapiga mikelelee hatari
Utamu hauna siriKuna huyu jamaa jirani na nyumba niliyopanga, aisee nimeshindwa kumwelewa, akiwa huko faragha na mpenzi wako anagugumia/kulia kimahaba MPAKA kero....yaani wakigegedana huko yeye ndio anatoa makelele kupita hata huyo demu wake.
Sasa nimejiuliza hii ni kawaida kweli??, kikawaida na uzoefu wangu najua mwanaume anagugumia kimya kimya kwa sauti ndogo ila huyu jamaa yeye anapiga mikelelee hatari
Huwezi jua labda huyo demu ana papuchi amazing kushinda zote dunianiHuwezi jua ya humo ndani labda piddy huwa anawatembelea
πππππππEti, Mimi sikuwaza hvyo kabisa
Huwezi jua labda huyo demu ana papuchi amazing kushinda zote duniani
Tatizo maskio hayana kizibo Cha kuzuia kusikiliza, labda nihameKama sio ww unayegugumia basi Mzee acha tu kufuatilia au kusikiliza mambo ya watu.
Umenikumbusha miaka kama saba iliyopita dume moja jirani liliangua ukeke wa nguvu ''Mageeeeee'' huku anakoroma. Huyo demu wake alikuwa anaitwa Magdalena.Kuna huyu jamaa jirani na nyumba niliyopanga, aisee nimeshindwa kumwelewa, akiwa huko faragha na mpenzi wako anagugumia/kulia kimahaba MPAKA kero....yaani wakigegedana huko yeye ndio anatoa makelele kupita hata huyo demu wake.
Sasa nimejiuliza hii ni kawaida kweli??, kikawaida na uzoefu wangu najua mwanaume anagugumia kimya kimya kwa sauti ndogo ila huyu jamaa yeye anapiga mikelelee hatari
Na sisi wa kimya kimya hatuna nafasi mbinguni mkuu??Wanaume wanaogugumia wakati wa mjunjo wananafasi zao mbinguni.
Nataka kusema hivyohivyo mkuuUnataka kusema nn
Wengine wakati wakumaliza ndo huwa wanapiga makelele. Kama mbuz au wanatetemeka kama genereta Kwa mujibu kungwi mmojaSiwezi kuchangia mpaka nisikikize hiyo sauti.