Ukifika salama ni maombi ya huyo muhubiri pengine unaenda/umetoka kuchepukaWadau naomba kuzungumzia kuna ili jambo kwasasa limezidi kushika kasi kuhubiri ndani ya madaladala imekuwa sehemu nyingi aswaaa mabasi ya tegeta toka mjini yaaani mnakosa utulivu kwenye mabasi na mwisho was siku wanashangisha sadaka sasa najiuliza hii hali vipi wadau
Ni jambo jema!Wadau naomba kuzungumzia kuna ili jambo kwasasa limezidi kushika kasi kuhubiri ndani ya madaladala imekuwa sehemu nyingi aswaaa mabasi ya tegeta toka mjini yaaani mnakosa utulivu kwenye mabasi na mwisho was siku wanashangisha sadaka sasa najiuliza hii hali vipi wadau
Wewe waangalie wanaotoa sadaka halafu chukua darubini angalia ndani ya ubongo wao Kama utakuta kitu.Wadau naomba kuzungumzia kuna hili jambo kwa sasa limezidi kushika kasi kuhubiri ndani ya daladala imekuwa sehemu nyingi hasa mabasi ya Tegeta toka mjini yaaani mnakosa utulivu kwenye mabasi na mwisho wa siku wanachangisha sadaka sasa najiuliza hii hali vipi wadau
Ndio maana yakajengwa makanisa.ina maana huko akuwatoshi.isitoshe kwenye gari kila mtu ana imani yake.inakua sio ustaharabu mzur.Waovu hawapendi kusikia habari za neno La Mungu
Cha ajabu ni kwamba, mahubiri wanatakatuamini kwamba wana haki ya kuhubiria popote pale ili kuokoa roho zilizopotea. Ila kwenda hospitali mfano muhimbili pale MOI hawataki.Ndio maana yakajengwa makanisa.ina maana huko akuwatoshi.isitoshe kwenye gari kila mtu ana imani yake.inakua sio ustaharabu mzur.
Maisha..Wadau naomba kuzungumzia kuna hili jambo kwa sasa limezidi kushika kasi kuhubiri ndani ya daladala imekuwa sehemu nyingi hasa mabasi ya Tegeta toka mjini yaaani mnakosa utulivu kwenye mabasi na mwisho wa siku wanachangisha sadaka sasa najiuliza hii hali vipi wadau
Kanisani hamuendi ngoja mfatwe huko huko kwenye shughuli zenuNdio maana yakajengwa makanisa.ina maana huko akuwatoshi.isitoshe kwenye gari kila mtu ana imani yake.inakua sio ustaharabu mzur.