Hivi ni sawa hili la kuhubiri ndani ya mabasi ya umma?

Hivi ni sawa hili la kuhubiri ndani ya mabasi ya umma?

Niliwahi kuhoji dhana ya Mtumishi mmoja wa Mungu kupeleka injili kwenye jamii ya wafugaji ambayo walikuwa hawaihitji. Matokeo yake eti wakawa wanampiga mpaka wapigaji wanazimia. Sasa unapelekaje kitu kule ambako hakihitajiki na wakati kuna sehemu zingine nyingi tu ambazo hazina kitu kile kile, na zinakihitaji?
1Uko off topic, hujui kufuatilia mjadala.
2.Umeleta point ambayo haiko relevant kwenye mjadala niliouanzisha hapo juu.
3. Mjadala niliouanzisha unahusu point ya kuipeleka Injili kila sehemu.
4.Hujui hata Biblia inasema nini kuhusu kuhubiri Injili dunia nzima

Mark 16:15

And he said to them, “Go into all the world and proclaim the gospel to the whole creation.

15 Akawaambia, “Nendeni ulimwenguni kote, mkawahubirie watu wote Habari Njema.

Sasa kwa nini wanashindwa kwenda kuanzisha kanisa Maka na kuhubiri huko ambako watu hawana makanisa?
 
1Uko off topic, hujui kufuatilia mjadala.
2.Umeleta point ambayo haiko relevant kwenye mjadala niliouanzisha hapo juu.
3. Mjadala niliouanzisha unahusu point ya kuipeleka Injili kila sehemu.
4.Hujui hata Biblia inasema nini kuhusu kuhubiri Injili dunia nzima

Mark 16:15

And he said to them, “Go into all the world and proclaim the gospel to the whole creation.

15 Akawaambia, “Nendeni ulimwenguni kote, mkawahubirie watu wote Habari Njema.

Sasa kwa nini wanashindwa kwenda kuanzisha kanisa Maka na kuhubiri huko ambako watu hawana makanisa?
Hahaha..mkuu nachelea kusema kwamba uwezo wako kuchambua mambo ni mdogo sana. Huenda pia hukuelewa hiyo link aliyoweka mdau hapo ju..
there are official churches but small number of christian usually meet in small room or internet room. We are not looking for official churches to preach the gospel..having a small number of christian is already a victory for the gospel penetration..the small number of them are enough to gradually double their number in a muslim country..mark my words..soon there will be more than you think.
 
Kwakuwa Sheria haijamkataza utapata tabu Sana na uchawi
Sheria mama haijakataza lkn neno la mkuu ni sheria,alivyoingia mjengoni msimu wa kwanza,alipiga marufuku mahubiri ya dini na siasa ndani ya vyombo vya usafiri
 
Hahaha..mkuu nachelea kusema kwamba uwezo wako kuchambua mambo ni mdogo sana. Huenda pia hukuelewa hiyo link aliyoweka mdau hapo ju..
there are official churches but small number of christian usually meet in small room or internet room. We are not looking for official churches to preach the gospel..having a small number of christian is already a victory for the gospel penetration..the small number of them are enough to gradually double their number in a muslim country..mark my words..soon there will be more than you think.
Mecca?

Hujaonesha ushahidi kwamba kuna kanisa la aina yoyote Mecca.
 
Bebaga konyagi ndogo ,wakija tu wewe unataoa konyagi unaanza kunywaa
 
Wangekuwa wanapiga disco kwenye hizo daladala usingehoji. Ila kwa kuwa ni neno la Mungu, unatuletea Uzi kana kwamba ni kitu cha ajabu sana. Acha injili ihubiriwe ndugu na sadaka ni hiari, waweza toa au usitoe
 
Wangekuwa wanapiga disco kwenye hizo daladala usingehoji. Ila kwa kuwa ni neno la Mungu, unatuletea Uzi kana kwamba ni kitu cha ajabu sana. Acha injili ihubiriwe ndugu na sadaka ni hiari, waweza toa au usitoe
Ndiyo hoja zenu zilivyo nyepesi. Disco linahusikaje hapa. Kila mtu anahaki ya kusikiliza kinachomfurahisha na ndiyo maana Kuna muda abilia wanampa suggestions kondakta, Kama mziki umezidi sauti, wahubiri na wauza bidhaa, wanamkera, n.k

Tatazo lenu nyinyi hamuwapi watu majibu ya kimaandiko kwa ustaarabu. Wape watu maandiko hapa ya kwanini mnahubiri kwenye magari?

Na kwanini mtu akiwachallange mnaanza kumtukana kwamba anamapepo au ni mchawi Bila ya kumfunulia maandiko yanayofanya kuhubiri humo kistaarabu; hasa ukizingatia kuwa nyinyi ndiyo mmemfuata sehemu ambayo anailipia?
 
Wakati mwingine tusivumulie watu kwenye mambo ya ajabu ajabu.Kama umelipia huduma ni lazima itolowe bila kero
Kuna mwaka fulani nilisafiri kipindi cha Pasaka, basi nililopanda wakaweka mawaidha ya dini ya kiislamu, ikawa muda wote ni kuponda ukristo na hiyo sikukuu ya Pasaka.

Ile safari ilikuwa ndefu balaa, na hakuna hata mmoja aliyeweza kumwomba dreva abadili, dreva na kondakta wote wamefuga ndevu.
 
Wakati mwingine tusivumulie watu kwenye mambo ya ajabu ajabu.Kama umelipia huduma ni lazima itolowe bila kero

Kweli mkuu, lakini hizi mambo zinazogusa imani kuna muda inabidi kukitahidi kukwepa ugomvi wake kama inawezekana.
 
Back
Top Bottom