Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yashatukuta siku moja tunaenda mkoa nilikaa na mshikaji wangu mhuni hivi akawaambia wabadili wakakataa kukawa na mabishano adi wakaleta dharau kama tunaona kero tushuke.....Kuna mwaka fulani nilisafiri kipindi cha Pasaka, basi nililopanda wakaweka mawaidha ya dini ya kiislamu, ikawa muda wote ni kuponda ukristo na hiyo sikukuu ya Pasaka.
Ile safari ilikuwa ndefu balaa, na hakuna hata mmoja aliyeweza kumwomba dreva abadili, dreva na kondakta wote wamefuga ndevu.
Hata uweke musikii hadi mwisho momiree..injili utaipata tuu..iwe danguroni..baani..chooni..everywhereWanaboa kinyama,nilishawahi kushuka kituo sio changu sababu ya huo upuuzi
Nikiwa na earphones naeka na mziki hadi mwisho
Ktk mahubiri mazingira yanahusika ndg yng,,,,,kitu kikifanyia sehemu isiyo mahali pake kinakuwa hakina maana.Hata uweke musikii hadi mwisho momiree..injili utaipata tuu..iwe danguroni..baani..chooni..everywhere
Kinachokukera zaidi ni sadaka? Au ni neno la Mungu ?Wadau naomba kuzungumzia kuna hili jambo kwa sasa limezidi kushika kasi kuhubiri ndani ya daladala imekuwa sehemu nyingi hasa mabasi ya Tegeta toka mjini yaaani mnakosa utulivu kwenye mabasi na mwisho wa siku wanachangisha sadaka sasa najiuliza hii hali vipi wadau
Hata uweke musikii hadi mwisho momiree..injili utaipata tuu..iwe danguroni..baani..chooni..everywhere
Ktk mahubiri mazingira yanahusika ndg yng,,,,,kitu kikifanyia sehemu isiyo mahali pake kinakuwa hakina maana.
Hii injili au uharamia sasa?Hata uweke musikii hadi mwisho momiree..injili utaipata tuu..iwe danguroni..baani..chooni..everywhere
Kwa kuwa neno linasema injili itahubiriwa kote, hivyo mahali popote, kwa wakati usiofaa na ufaao, injili lazima ihubiriwe mana ni habari njema.Ktk mahubiri mazingira yanahusika ndg yng,,,,,kitu kikifanyia sehemu isiyo mahali pake kinakuwa hakina maana.
Ni injili mkuu..Hii injili au uharamia sasa?
Ni injili mkuu..
Mahali popote neno lazima lifike yaan hakuna namna..
Makanisani watu hawajii..kwenye mikutano ya injili watu hawafiki kwa kuwa maisha yamekuwa changamoto watu hawalali ni kutafuta pesa kwa ajili ya tumbo hivyo wanapokuwa kwenye utafutaji tutahakikisha injili inawafikia mana tukisubir jpl waje hawaji tukiweka mikutano ya injili hawaji..
Hivyo tutawafuata huko huko kwenye shughuli zao.
enendeni ulimwenguni kote mkawabitize watu kwa jina la BABA , MWANA NA ROHO MTAKATIFU.
Heee..maka tena..mbona makanisa yapo kiongozi..hahaha..kumbe hujui fuatilia kwa ukaribu wachana na propaganda za facebook, instagram, twiter na JF..watu wanasali vizuri tu jpil..Mahali popote?
Peleka Injili Maka uone.
Kuna makanisa Maka? Maka ya wapi, Saudi Arabia au nyingine mmeichonga ya maigizo?Heee..maka tena..mbona makanisa yapo kiongozi..hahaha..kumbe hujui fuatilia kwa ukaribu wachana na propaganda za facebook, instagram, twiter na JF..watu wanasali vizuri tu jpil..
Ukiona jambo linapingwa ujue linanguvu kubwa fuatilia utagundua
Hii hapa:Kuna makanisa Maka? Maka ya wapi, Saudi Arabia au nyingine mmeichonga ya maigizo?
Wewe unaelewa kwamba mimi huwa sitaji kitu bila research?
Unaweza kuyataja hayo makanisa haliyopo Maka?
Weka link hapa tuyajue.
Hiyo link uliyonipa wewe mwenyewe inasema hivi.
Niliwahi kuhoji dhana ya Mtumishi mmoja wa Mungu kupeleka injili kwenye jamii ya wafugaji ambayo walikuwa hawaihitji. Matokeo yake eti wakawa wanampiga mpaka wapigaji wanazimia. Sasa unapelekaje kitu kule ambako hakihitajiki na wakati kuna sehemu zingine nyingi tu ambazo hazina kitu kile kile, na zinakihitaji?Hiyo link uliyonipa wewe mwenyewe inasema hivi.
"Churches
Currently there are no official churches in Saudi Arabia of any Christian denomination.[8] The small number of Christians in Saudi Arabia meet in internet chat rooms and private meetings.[8]
According to the Society of Architectural Heritage Protection Jeddah and the Municipality of Jeddah, a long-abandoned house in Al-Baghdadiyya district has never been an Anglican church, contrary to the "'myth' that had spread on the Internet". However, in 1930 there was a non-Muslim cemetery in Jeddah.[13]"
Hakuna sehemu ilipoandikwa kwamba kuna kanisa Maka hapo.
Nendeni kajengeni kanisa Maka muone utamu wa jambia.