gijos
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 1,171
- 1,786
Ndio hatutaki sasa.huko ni kulazimishana imani.kama me ni mpagani je.wasitusumbue asee.tukimiss tutawafata huko kwa maeneo yao maalum ya hzo mambo zao.Kanisani hamuendi ngoja mfatwe huko huko kwenye shughuli zenu