Hivi ni Taasisi yetu tu au Taasisi zote za Umma pesa imekua ngumu kwa Wafanyakazi?

Mambo ni magumu japo sio kote
 
Kaka we acha tu! Unafahamu ile clip bibi mmoja anasema β€œWe niache tu nachanganyikiwa mjukuu wangu β€œ

πŸ˜‚

Kazi ni mpaka wa akili yako, hadi ufukuzwe kazi ndio utambue kipaji chako
Mshahara umejaa makato, biashara zimejaa mapato...

Nikweli, wanasema ukitaka kupata utamu wa juice ya chungwa, likamue sana.

Kuna mazingira mfano hiyo kufukuzwa kazi inakufanya utumiwe akili na maarifa yako yote uweze kukabiliana na changamoto za maisha.
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… pole ndiyo ukubwa huo, unakumbuka wazazi wako, ukiwa mdogo. Ukiomba hela, wanasema hawana ndiyo hivi 😊😊😊
By the way, Taasisi gani hiyo imefulia hivyo?
Hii ndio ila maana ya maneno,kua uyaone mwanangu.
 
.

Ni vizuri sana kuwa na ndoto, jitihada, bidii, maarifa na kila aina ya ubunifu kwenye kutafuta pesa, ila hakikisha afya yako, furaha yako, amani yako na uhuru wako hauathiriki kwa namna yeyote ile, hapo sijaongelea heshima yako.
Ume nikumbusha marehemu mzee wangu, nili kuwa niki mtembelea tuna kula bata Sana.

siku akiwa hayuko vizuri, ana sema jembe langu Leo mfuko ume azimwa.
Ila haimaanishi hatu wezi kufurahi.
haya nenda Buchani au supermarket, kalete hiki na kile tuishi.

hapo mta weka movies, story za hapa na pale. Jioni ume pewa 10k maisha yaka enda.

Ali wahi sema "familia ndo kila kitu, kukosa hela sio kigezo Cha kuto kufurahi na kuishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…