Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Au sio mwana😂Hahashahaha dadeq 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au sio mwana😂Hahashahaha dadeq 🤣🤣
Motivation speakers ndio muda wenu wa kutamba huu.Ajira maana yake uko kwenye kifungo cha hiari lkn unaruhusiwa jioni kuja kuonana na familia na kumla mkeo, then kesho yake unarejea gerezani.
Ukizeeka wanakuweka huru na unapewa pesa ya kwenda kujimaliza🤣🤣🤣
Pole mwalimu😂Motivation speakers ndio muda wenu wa kutamba huu.
Kama zilikuwa za selikali, hadi Mungu atakushangaaHaya maisha haya...au basi tu. Kuna kipindi nilipata upenyo wa kupata pesa kirahisi mno, ilikua ni maamuzi yangu tu kwamba nitengeneze kiasi gani kwa siku (Ilikua naweza kupata hadi 500k) ila nafsi ilikua inanisuta, ikabidi tu niwaambie wahusika kwamba kuna kitu hakipo sawa mahali. Ni kweli nilizikosa zile pesa lakini nna amani na furaha hadi kesho. Vinginevyo mngeshangaa tu The Monk amepotea jukwaani.
Ni vizuri sana kuwa na ndoto, jitihada, bidii, maarifa na kila aina ya ubunifu kwenye kutafuta pesa, ila hakikisha afya yako, furaha yako, amani yako na uhuru wako hauathiriki kwa namna yeyote ile, hapo sijaongelea heshima yako.
Ze situeshen is taff.Wakuu, especially waajiriwa wa serikali.
Hivi Na nyie ofisini kwenu pakavu kama kwetu au ofisi yetu ndio imekua mfano? Maana kusema kweli 2023 na 2024 hii miaka imekua migumu sana.
Posho hazitoki yapo madeni tu tokea ya September 2023, safari imekua kitu hadimu, vikao vya hela hamna wala kazi za masaa za ziada hazilipwi.
Okay, sasa sijui pesa ipo wengine tunabaniwa tuliopo chini au Taasisi zote sahivi zimebaniwa hela?
Nimechoka kushinda kwenye uzi wa Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?
Mliojiajiri karibuni kunitukana!
Hazikua za serikali Wala za mtu binafsi. Mbaya zaidi, nilioenda kuwapa taariza za hiyo hitilafu wakataka kuniletea usumbufu wazuie pesa zangu. Nikawaambia ikifika saa nane kamili akaunti yangu bado inashida, tutakutana BoT. Wakati huo ilikua saa Saba na nusu.Kama zilikuwa za selikali, hadi Mungu atakushangaa
😂Unawatumikia WANYONGE GANI MAN🤣🤣🤣
Mnyonge namba moja ni tumbo lako😂
Nasikia j3 kuna sikukuu. Nadhani nitajifungia ndani kama utumbo kuanzia leo usiku.Mad Max ramani inasoma au bado dira inakataa kamanda? Ahadi yangu ni kuhakikisha weekend unaenda Cinemax na kupata Krussher za KFC.
Nimebubujikwa na machozi mithili ya Lucas Mwashambwa
Nasikia j3 kuna sikukuu. Nadhani nitajifungia ndani kama utumbo kuanzia leo usiku.
Kwenye mihogo na kandoro hapa karibu na meza ya muuza magazeti! 😂😂Wewe unachekea wapi? Au basi tu acha ninyamaze.
Hata pesa ya wizi ni ngumu kuipata. Sasa wewe unataka pesa inayopatikana kirahisi utaipata dunia gani.Wakuu, especially waajiriwa wa serikali.
Hivi Na nyie ofisini kwenu pakavu kama kwetu au ofisi yetu ndio imekua mfano? Maana kusema kweli 2023 na 2024 hii miaka imekua migumu sana.
Posho hazitoki yapo madeni tu tokea ya September 2023, safari imekua kitu hadimu, vikao vya hela hamna wala kazi za masaa za ziada hazilipwi.
Okay, sasa sijui pesa ipo wengine tunabaniwa tuliopo chini au Taasisi zote sahivi zimebaniwa hela?
Nimechoka kushinda kwenye uzi wa Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?
Mliojiajiri karibuni kunitukana!
Hata pesa ya wizi ni ngumu kuipata. Sasa wewe unataka pesa inayopatikana kirahisi utaipata dunia gani.Wakuu, especially waajiriwa wa serikali.
Hivi Na nyie ofisini kwenu pakavu kama kwetu au ofisi yetu ndio imekua mfano? Maana kusema kweli 2023 na 2024 hii miaka imekua migumu sana.
Posho hazitoki yapo madeni tu tokea ya September 2023, safari imekua kitu hadimu, vikao vya hela hamna wala kazi za masaa za ziada hazilipwi.
Okay, sasa sijui pesa ipo wengine tunabaniwa tuliopo chini au Taasisi zote sahivi zimebaniwa hela?
Nimechoka kushinda kwenye uzi wa Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?
Mliojiajiri karibuni kunitukana!
Mdogo wangu umekula?Kwenye mihogo na kandoro hapa karibu na meza ya muuza magazeti! 😂😂