Hivi ni Taasisi yetu tu au Taasisi zote za Umma pesa imekua ngumu kwa Wafanyakazi?

Hivi ni Taasisi yetu tu au Taasisi zote za Umma pesa imekua ngumu kwa Wafanyakazi?

Wakuu, especially waajiriwa wa serikali.

Hivi Na nyie ofisini kwenu pakavu kama kwetu au ofisi yetu ndio imekua mfano? Maana kusema kweli 2023 na 2024 hii miaka imekua migumu sana.

Posho hazitoki yapo madeni tu tokea ya September 2023, safari imekua kitu hadimu, vikao vya hela hamna wala kazi za masaa za ziada hazilipwi.

Okay, sasa sijui pesa ipo wengine tunabaniwa tuliopo chini au Taasisi zote sahivi zimebaniwa hela?

Nimechoka kushinda kwenye uzi wa Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Mliojiajiri karibuni kunitukana!
inasemekana kibaba kimeshaanza kukauka tena. poleni wafanyakazi wa umma
 
Wakuu, especially waajiriwa wa serikali.

Hivi Na nyie ofisini kwenu pakavu kama kwetu au ofisi yetu ndio imekua mfano? Maana kusema kweli 2023 na 2024 hii miaka imekua migumu sana.

Posho hazitoki yapo madeni tu tokea ya September 2023, safari imekua kitu hadimu, vikao vya hela hamna wala kazi za masaa za ziada hazilipwi.

Okay, sasa sijui pesa ipo wengine tunabaniwa tuliopo chini au Taasisi zote sahivi zimebaniwa hela?

Nimechoka kushinda kwenye uzi wa Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Mliojiajiri karibuni kunitukana!
Hadimu❎
Adimu✅
Masaa za ziada❎
Masaa ya ziada✅
Sahivi❎
Sasa hivi/kwa Sasa✅
 
Kiongozi kwenda Century Cinemax , kupata kapizza na krussher ni matumizi makubwa?

Hapo kwenye kupanga matumizi/ budget Kwa kutegemea posho nimekuelewa sana. Usiipangie matumizi pesa ambayo Bado haujaikamata.
Matumizi makubwa yanategemea na kipato chako. Matumizi makubwa kwa mtu A ni matumizi ya kawaida au madogo kwa mtu B
Pamoja man. Kitaeleweka tu.
Kwahio mzee ile trip ya sgr iligonga mwamba?
 
Back
Top Bottom