Hivi ni Taasisi yetu tu au Taasisi zote za Umma pesa imekua ngumu kwa Wafanyakazi?

Hivi ni Taasisi yetu tu au Taasisi zote za Umma pesa imekua ngumu kwa Wafanyakazi?

Kiongozi kwenda Century Cinemax , kupata kapizza na krussher ni matumizi makubwa?

Hapo kwenye kupanga matumizi/ budget Kwa kutegemea posho nimekuelewa sana. Usiipangie matumizi pesa ambayo Bado haujaikamata.
Matumizi makubwa yanategemea na kipato chako. Matumizi makubwa kwa mtu A yanaweza kuwa matumizi ya kawaida au madogo kwa mtu B.
 
Wakuu, especially waajiriwa wa serikali.

Hivi Na nyie ofisini kwenu pakavu kama kwetu au ofisi yetu ndio imekua mfano? Maana kusema kweli 2023 na 2024 hii miaka imekua migumu sana.

Posho hazitoki yapo madeni tu tokea ya September 2023, safari imekua kitu hadimu, vikao vya hela hamna wala kazi za masaa za ziada hazilipwi.

Okay, sasa sijui pesa ipo wengine tunabaniwa tuliopo chini au Taasisi zote sahivi zimebaniwa hela?

Nimechoka kushinda kwenye uzi wa Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Mliojiajiri karibuni kunitukana!

Mkuu utatweka na MAMFWELE maana unazungumza ugumu wa maisha unamchafua Binti Kiziwi Chura mama kizimkazi na hapa ipo.
 
Wakuu, especially waajiriwa wa serikali.

Hivi Na nyie ofisini kwenu pakavu kama kwetu au ofisi yetu ndio imekua mfano? Maana kusema kweli 2023 na 2024 hii miaka imekua migumu sana.

Posho hazitoki yapo madeni tu tokea ya September 2023, safari imekua kitu hadimu, vikao vya hela hamna wala kazi za masaa za ziada hazilipwi.

Okay, sasa sijui pesa ipo wengine tunabaniwa tuliopo chini au Taasisi zote sahivi zimebaniwa hela?

Nimechoka kushinda kwenye uzi wa Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Mliojiajiri karibuni kunitukana!
Ajira maana yake uko kwenye kifungo cha hiari lkn unaruhusiwa jioni kuja kuonana na familia na kumla mkeo, then kesho yake unarejea gerezani.
Ukizeeka wanakuweka huru na unapewa pesa ya kwenda kujimaliza🤣🤣🤣
 
Ajira maana yake uko kwenye kifungo cha hiari lkn unaruhusiwa jioni kuja kuonana na familia na kumla mkeo, then kesho yake unarejea gerezani.
Ukizeeka wanakuweka huru na unapewa pesa ya kwenda kujimaliza🤣🤣🤣
Umeongea ukweli. Yaani nikiangalia ratiba yangu ya week, ni home job sometimes j1 na j2 naenda job.
 
Wenyewe wanakuambia posho sio haki yako , baadhi ya taasisi hamna safari zimefutwa ni mwendo wa zoom meeting kwenda mbele ...Nina mwaka wa pili sijaenda safari ya kikazi yaani ni tabu tupu .
Utendaji wa kazi unashuka man. Sema tunakomaa tu kwakua tunawatumikia wanyonge.
 
Umeongea ukweli. Yaani nikiangalia ratiba yangu ya week, ni home job sometimes j1 na j2 naenda job.
Niliajiriwa miaka 5 tu.
Sitakaa niajiriwe milele.
1. Ukiajiriwa umedhibitiwa kuongezeka kwa kipato

2. Hata ukiwa na mshahara mkubwa baada ya muda hautoshi tena.
3. Sipendi kupangiwa muda wa kulala na kuamka

4. Kujiajiri huwa ni ngumu mwanzoni lakini ukiwa na akili muda si mrefu unajikuta uko kwenye reli.
 
Back
Top Bottom