The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Ili nalo neno man. Nimekula leo x3 nimshukuru Mungu. Ingawa nilitamani nile vizuri zaidi, niende Century Cinemax kuangalia Movie, nnavotoka nitoke na Krussher ya kishua pale jirani ila ndio ivo.. Ngoja nilale kesho nikaumie tena.
Unaona sasa kumbe hata hauna mambo makubwa kiongozi. Kanuni yangu ni moja tu, kufurahia maisha kwa kiwango chochote kile katika hatua yoyote niliyonayo. Usikabidhi kabisa mtu mwingine jukumu la wewe kujipenda, jipende kwanza wewe.
Hata kama nna 50k mfukoni, weekend movie muhimu, nikipata na ka juice kwenye vile vimigahawa vya Mlimani City au kahawa moyo unaridhikaaaa.
Kesho mambo yasipoenda sawa itabidi tugawane upendo kiongozi weekend upate faraja ya movie kuongeza furaha na nguvu za kupambana. Tutagawana hicho hicho tutakachojaliwa. Umeleta andiko kwa machungu sana mkuu