Hivi ni ubwege kumsaidia mke wako kufua, kupika na kwenda sokoni?

Hivi ni ubwege kumsaidia mke wako kufua, kupika na kwenda sokoni?

mzibua chemba

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2016
Posts
476
Reaction score
412
Najisikia vibaya sana kila wanaume wanavyonisema kuwa mimi ni mume bwege kisa namsaidia wife vikazi kazi.

Huwa sometime napenda kumsaidia kufua vyupi au kupika spesho msosi na siku naamua naenda zangu sokoni nanunua mahitaji ya home sasa hii imepelekea majirani kunikalia vikao kua nimelishwa limbwata na kuwa mume bwege. Hivi hii inakuwaje kwa jamii zetu za kiafrica?

Mbona wazungu au waarabu, wapemba wanafanya hivi? Kwangu binafsi na wivu balaa kwa wife inabidi nimsaidie tuu maana dah najua mwenyewe ninachokipata.

Asa hii imepelekea kusemwa kuwa mimi ni mume bwege, hivi kuna ubwege kumsaidia wife vikazi kazi?

1619433576326.png
 
Najisikia vibaya sana kila wanaume wanavyonisema kuwa mimi ni mume bwege kisa namsaidia wife vikazi kazi. Huwa sometime napenda kumsaidia kufua vyupi au kupika spesho msosi na siku naamua naenda zangu sokoni nanunua mahitaji ya home sasa hii imepelekea majirani kunikalia vikao kua nimelishwa limbwata na kuwa mume bwege. Hivi hii inakuwaje kwa jamii zetu za kiafrica?

Mbona wazungu au waarabu, wapemba wanafanya hivi? Kwangu binafsi na wivu balaa kwa wife inabidi nimsaidie tuu maana dah najua mwenyewe ninachokipata.

asa hii imepelekea kusemwa kuwa mimi ni mume bwege, hivi kuna ubwege kumsaidia wife vikazi kazi?

Wewe fanya yako bwana....wanadamu hawakosagi lakusema....ata mie mbona nafua chupi za wanawake ninao gegeda na wala sijawaoa....raha sana kufua chupi na mwanamke has ukiwa unamgegedaz
 
Ubwege ni kuishi vile hao majirani wanavyotaka! Lakini kumsaidia mkeo ndio uanaume. Mimi sijifii hata kama ni shombe shombe mambo mengi namsaidia achilia mbali wewe kumsaidia hizo kazi mi nimeenda mbali zaidi kila mtoto akimzaa namlipa mshahara wa kumnyonyesha mtoto
 
Back
Top Bottom