Hivi ni ubwege kumsaidia mke wako kufua, kupika na kwenda sokoni?

Hivi ni ubwege kumsaidia mke wako kufua, kupika na kwenda sokoni?

Kwanza kazi zote ni za mwanaume, mke ni msaidizi tuu, lakini unapokuwa na majukumu mengine mke ndio anafanya shughuli hizi ndogo ndogo za nyumbani kama kufua, kupika, kwenda sokoni, kuchota maji nk, Mkeo akiugua au kusafiri na huna binti wa kazi, inabidi umsaidie na pia ukitoka kazini ukipitia mboga soloni umletee mkeo si tatizo.Huko usukumani ukionekana unafua, unapika, unakwenda sokoni unachekwa, wao wanasema kama mkeo mgonjwa ni bora ukaombe binti kwa ndugu zako au ukweni wa kufanya shughuli hizo. Kule mtoto wa kiume mpaka anafikia hatua ya kuoa hajui kupika wala kufua. Unaweza kumkabidhi nyumba vyakula vipo na akashinda njaa kisa hajui kupika !!
 
Ningebahatika kupata mume dizain yako walahi ningefarijika mnoo...kazi za nyumbani siyo jukum LA mke bali huwa tunafanya tuu kwa upendo tuloonao kwa waume zetu..LA msingi ni kusaidiana na kila mmoja ajue thamani ya mwenzake
 
Najisikia vibaya sana kila wanaume wanavyonisema kuwa mimi ni mume bwege kisa namsaidia wife vikazi kazi. Huwa sometime napenda kumsaidia kufua vyupi au kupika spesho msosi na siku naamua naenda zangu sokoni nanunua mahitaji ya home sasa hii imepelekea majirani kunikalia vikao kua nimelishwa limbwata na kuwa mume bwege. Hivi hii inakuwaje kwa jamii zetu za kiafrica?

Mbona wazungu au waarabu, wapemba wanafanya hivi? Kwangu binafsi na wivu balaa kwa wife inabidi nimsaidie tuu maana dah najua mwenyewe ninachokipata.

asa hii imepelekea kusemwa kuwa mimi ni mume bwege, hivi kuna ubwege kumsaidia wife vikazi kazi?
Yaani kumpikia mke na kuosha vyombo unajiona wewe ni mzungu na mwarabu?

Chukua kioo ujiangalie utajiona then utaacha fikra za kijinga..mwishowe utakuwa shoga useme mbona wazungu wanafanya.
 
Ishi uwezavyo, Waislamu wanajua kumsaidia mke wako si dhambi, ni vionjo vya mapenzi tu.
 
Mkuu we ni mume bora. Familia ya namna hiyo lazima ije upendo.
 
wapotezee hao maana wengi wao hawana experience ya maisha ya ndoa.
 
Ningebahatika kupata mume dizain yako walahi ningefarijika mnoo...kazi za nyumbani siyo jukum LA mke bali huwa tunafanya tuu kwa upendo tuloonao kwa waume zetu..LA msingi ni kusaidiana na kila mmoja ajue thamani ya mwenzake
Ni kweli ila sio kwa hawa wanawake wetu wa kibongo, labda uoe binti aliekulia katika mazingira hayo ila hawa wa kuyakutia ukubwani sishauri.
 
Najisikia vibaya sana kila wanaume wanavyonisema kuwa mimi ni mume bwege kisa namsaidia wife vikazi kazi. Huwa sometime napenda kumsaidia kufua vyupi au kupika spesho msosi na siku naamua naenda zangu sokoni nanunua mahitaji ya home sasa hii imepelekea majirani kunikalia vikao kua nimelishwa limbwata na kuwa mume bwege. Hivi hii inakuwaje kwa jamii zetu za kiafrica?

Mbona wazungu au waarabu, wapemba wanafanya hivi? Kwangu binafsi na wivu balaa kwa wife inabidi nimsaidie tuu maana dah najua mwenyewe ninachokipata.

asa hii imepelekea kusemwa kuwa mimi ni mume bwege, hivi kuna ubwege kumsaidia wife vikazi kazi?
Kuna kazi ambazo unawaza kumsaidia mke kama kwenda sokoni,, Kupika kufua ila fanya kwa kulidhia ww bila ya kuperekeshwa
 
Najisikia vibaya sana kila wanaume wanavyonisema kuwa mimi ni mume bwege kisa namsaidia wife vikazi kazi. Huwa sometime napenda kumsaidia kufua vyupi au kupika spesho msosi na siku naamua naenda zangu sokoni nanunua mahitaji ya home sasa hii imepelekea majirani kunikalia vikao kua nimelishwa limbwata na kuwa mume bwege. Hivi hii inakuwaje kwa jamii zetu za kiafrica?

Mbona wazungu au waarabu, wapemba wanafanya hivi? Kwangu binafsi na wivu balaa kwa wife inabidi nimsaidie tuu maana dah najua mwenyewe ninachokipata.

asa hii imepelekea kusemwa kuwa mimi ni mume bwege, hivi kuna ubwege kumsaidia wife vikazi kazi?
Dude live your life kama wewe na mke wako mna furaha na unaenjoy mnavyoishi usijali maneno yao.
Kwanini uishi kama wao bwana.
 
wee msaidie tu mkeo kazi, maana ucpomsaidia watamsaidia wao alafu ushangae vizur
 
Back
Top Bottom