Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji10]kuna siku utaambiwa ukaongeze na mkaa jikoni
inakera Sana[emoji3][emoji3][emoji3]Ni vizuri kufanya hivo ila tatizo huwa kwa aina ya mwanamke uliyenae!Kuna mwingine unamsaidia hizo kazi zote na anakuwa proud kukuheshimu wewe kama mume!
Ila wengine sasa unamsaidia kwa nia njema yeye sasa anajitutumua kuonyesha kwa mashoga zake kama kwake hufurukuti! inakera sana
Ingawa ni vizuri kumsaidia mke kwanza inaongeza upendo na furaha ndani ya nyumba
Usiishi kwa kuwasikiliza watu, kwma mkeo anakuheshimu na anakupa nafasi yako kama mume basi hayo mengine yasikusumbueNajisikia vibaya sana kila wanaume wanavyonisema kuwa mimi ni mume bwege kisa namsaidia wife vikazi kazi. Huwa sometime napenda kumsaidia kufua vyupi au kupika spesho msosi na siku naamua naenda zangu sokoni nanunua mahitaji ya home sasa hii imepelekea majirani kunikalia vikao kua nimelishwa limbwata na kuwa mume bwege. Hivi hii inakuwaje kwa jamii zetu za kiafrica?
Mbona wazungu au waarabu, wapemba wanafanya hivi? Kwangu binafsi na wivu balaa kwa wife inabidi nimsaidie tuu maana dah najua mwenyewe ninachokipata.
asa hii imepelekea kusemwa kuwa mimi ni mume bwege, hivi kuna ubwege kumsaidia wife vikazi kazi?
umpende wewe alafu wengine waongee!Najisikia vibaya sana kila wanaume wanavyonisema kuwa mimi ni mume bwege kisa namsaidia wife vikazi kazi. Huwa sometime napenda kumsaidia kufua vyupi au kupika spesho msosi na siku naamua naenda zangu sokoni nanunua mahitaji ya home sasa hii imepelekea majirani kunikalia vikao kua nimelishwa limbwata na kuwa mume bwege. Hivi hii inakuwaje kwa jamii zetu za kiafrica?
Mbona wazungu au waarabu, wapemba wanafanya hivi? Kwangu binafsi na wivu balaa kwa wife inabidi nimsaidie tuu maana dah najua mwenyewe ninachokipata.
asa hii imepelekea kusemwa kuwa mimi ni mume bwege, hivi kuna ubwege kumsaidia wife vikazi kazi?
Teh teh ki africa hapo lazima uonekane bwege.
Kuna siku nilienda home kwetu na wife pa1 na first born wetu.Basi nikajichanganya siku moja kukaa na binti yangu kumlisha.Aisee kumbe wazaz wali mind kile kitendo balaa na wakahisi pengine wife ameshanipiga shuntama.Niliwekwa mtu kati kikao cha kijasusi wakat wife katoka mara moja.na kukatazwa katu katu kutofanya majukumu ya mwanamke abadan!
Yaani kulimsha binti yako mwenyewe ni limbwata pia? Na wewe kweli ukaona hukufanya kitu sahihi? Daah Mungu atusaidie wanawake na watoto
Mwenyewe sikufikiria kama ingekuwa hivyo na nilishangaa.Ila ndio wazazi sasa nafanyaje.Nilichoambiwa hatukukatazi kumpenda.binti.yako.Lakini.kazi.za mama zifanywe na mama na za baba.zifanywe.na baba.Ikabidi.niwe mpole tuYaani kulimsha binti yako mwenyewe ni limbwata pia? Na wewe kweli ukaona hukufanya kitu sahihi? Daah Mungu atusaidie wanawake na watoto wetu
mzibua chemba .Bwege au Mabwege ni wale wanaofanyia wake zao makaazi kama Punda wa Dobi wale ndio mabwege kwa sisi waislamu kumsaidia mke wako ni sunna madam Rasuli alikuwa akimsaidia mke wake .Najisikia vibaya sana kila wanaume wanavyonisema kuwa mimi ni mume bwege kisa namsaidia wife vikazi kazi.
Huwa sometime napenda kumsaidia kufua vyupi au kupika spesho msosi na siku naamua naenda zangu sokoni nanunua mahitaji ya home sasa hii imepelekea majirani kunikalia vikao kua nimelishwa limbwata na kuwa mume bwege. Hivi hii inakuwaje kwa jamii zetu za kiafrica?
Mbona wazungu au waarabu, wapemba wanafanya hivi? Kwangu binafsi na wivu balaa kwa wife inabidi nimsaidie tuu maana dah najua mwenyewe ninachokipata.
Asa hii imepelekea kusemwa kuwa mimi ni mume bwege, hivi kuna ubwege kumsaidia wife vikazi kazi?
👍👍Kama ulikulia kwenye familia na baba yako akawa anafanya hivyo hutoona ajabu....ila kwasisi tuliokulia kwenye familia za asili ya mtanzania ni ajabu sana
Wazazi hawana upendo hata na mjukuu wao??????Teh teh ki africa hapo lazima uonekane bwege.
Kuna siku nilienda home kwetu na wife pa1 na first born wetu.Basi nikajichanganya siku moja kukaa na binti yangu kumlisha.Aisee kumbe wazaz wali mind kile kitendo balaa na wakahisi pengine wife ameshanipiga shuntama.Niliwekwa mtu kati kikao cha kijasusi wakat wife katoka mara moja.na kukatazwa katu katu kutofanya majukumu ya mwanamke abadan!
Shangaa weweYaani kulimsha binti yako mwenyewe ni limbwata pia? Na wewe kweli ukaona hukufanya kitu sahihi? Daah Mungu atusaidie wanawake na watoto wetu
Shida iko wapi????Kuna siku utaambiwa ukaongeze na mkaa jikoni.
Shangaa wewe
Hao wazazi ndio wale wasiowapenda wajukuu wa watoto wao wa kiume hao
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hahaahaaa ukawekwa mtu katiTeh teh ki africa hapo lazima uonekane bwege.
Kuna siku nilienda home kwetu na wife pa1 na first born wetu.Basi nikajichanganya siku moja kukaa na binti yangu kumlisha.Aisee kumbe wazaz wali mind kile kitendo balaa na wakahisi pengine wife ameshanipiga shuntama.Niliwekwa mtu kati kikao cha kijasusi wakat wife katoka mara moja.na kukatazwa katu katu kutofanya majukumu ya mwanamke abadan!