Hivi ni ubwege kumsaidia mke wako kufua, kupika na kwenda sokoni?

Hivi ni ubwege kumsaidia mke wako kufua, kupika na kwenda sokoni?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu wengine bwana mnaishi afrika ila life style yenu mnataka iwe ya ulaya.hivi unajua kwanini wazungu wakiume wanasaidia wake zao sababu hawatoi mahari pia wake zao wanashiriki kwenye uchumi wa familia[emoji848] .sasa tuje huku bongo mtu utoe mahali milioni 2 halafu jitu lenyewe libinafsi yeye kazi kupiga mzinga kwenda kusuka na kusaidia ndugu zake, kwenye hela anayopata haishiriki kwenye uchumi wa familia hata chumvi halafu mtu kama huyu watu wanataka asaidiwe kazi. hapo ukimsaidia yeye mwenyewe anakuona bwege huko akikupooza kwa kukuita gentleman ila ukweli mwenzio anakuona bwege. Hapo ndipo utajiona bwege kujifanya british man halafu unaishi mazense[emoji23][emoji1787][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] anakuchora tu.tuishi nao kwa akili
 
Teh teh ki africa hapo lazima uonekane bwege.
Kuna siku nilienda home kwetu na wife pa1 na first born wetu.Basi nikajichanganya siku moja kukaa na binti yangu kumlisha.Aisee kumbe wazaz wali mind kile kitendo balaa na wakahisi pengine wife ameshanipiga shuntama.Niliwekwa mtu kati kikao cha kijasusi wakat wife katoka mara moja.na kukatazwa katu katu kutofanya majukumu ya mwanamke abadan!
Yaani hawataki umlishe Mtoto wako?Na wewe ukakubali?
Kwahiyo mtoto azimie kwa njaa?
 
Kufua, kupika, kwenda sokoni, na vikazi kama hivyo sio mbaya ila tatizo linakuja hawa wenzetu hua wanageuza kua kama ka utaratibu ka lazima anakupangia na zam, usipofanya anavuta domo.

Kwahiyo utaamua sasa ufanye au usifanye
 
Wanaokusema wote wanaona wivu kwasababu wao hawafanyiwi na waume zao au kama ni wanaume basi hawawafanyii wake zao na wanataka ulingane nao.Wewe ni mwanaume bora endelea kumsaidia mkeo.Wanawake tunapenda na kuvutiwa na wanaume wa aina yako sio mabeberu 😉
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu wengine bwana mnaishi afrika ila life style yenu mnataka iwe ya ulaya.hivi unajua kwanini wazungu wakiume wanasaidia wake zao sababu hawatoi mahari pia wake zao wanashiriki kwenye uchumi wa familia[emoji848] .sasa tuje huku bongo mtu utoe mahali milioni 2 halafu jitu lenyewe libinafsi yeye kazi kupiga mzinga kwenda kusuka na kusaidia ndugu zake, kwenye hela anayopata haishiriki kwenye uchumi wa familia hata chumvi halafu mtu kama huyu watu wanataka asaidiwe kazi. hapo ukimsaidia yeye mwenyewe anakuona bwege huko akikupooza kwa kukuita gentleman ila ukweli mwenzio anakuona bwege. Hapo ndipo utajiona bwege kujifanya british man halafu unaishi mazense[emoji23][emoji1787][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
achuke hii point mleta mada..[emoji847][emoji847][emoji847]
 
Najisikia vibaya sana kila wanaume wanavyonisema kuwa mimi ni mume bwege kisa namsaidia wife vikazi kazi.

Huwa sometime napenda kumsaidia kufua vyupi au kupika spesho msosi na siku naamua naenda zangu sokoni nanunua mahitaji ya home sasa hii imepelekea majirani kunikalia vikao kua nimelishwa limbwata na kuwa mume bwege. Hivi hii inakuwaje kwa jamii zetu za kiafrica?

Mbona wazungu au waarabu, wapemba wanafanya hivi? Kwangu binafsi na wivu balaa kwa wife inabidi nimsaidie tuu maana dah najua mwenyewe ninachokipata.

Asa hii imepelekea kusemwa kuwa mimi ni mume bwege, hivi kuna ubwege kumsaidia wife vikazi kazi?

Ndio.
 
H
Najisikia vibaya sana kila wanaume wanavyonisema kuwa mimi ni mume bwege kisa namsaidia wife vikazi kazi.

Huwa sometime napenda kumsaidia kufua vyupi au kupika spesho msosi na siku naamua naenda zangu sokoni nanunua mahitaji ya home sasa hii imepelekea majirani kunikalia vikao kua nimelishwa limbwata na kuwa mume bwege. Hivi hii inakuwaje kwa jamii zetu za kiafrica?

Mbona wazungu au waarabu, wapemba wanafanya hivi? Kwangu binafsi na wivu balaa kwa wife inabidi nimsaidie tuu maana dah najua mwenyewe ninachokipata.

Asa hii imepelekea kusemwa kuwa mimi ni mume bwege, hivi kuna ubwege kumsaidia wife vikazi kazi?

Hamna ubwege wowote, na nakuapia ukisikia ohh tangu nioe mke wangu hafanyi vizuri kitandani Mara nyingi wanakosa vitu kama hivyo, we fanya kwa furaha yako na mkeo, hao ndo wa maana hao majirani ambao sio mabwege Wana maisha magumu huko ndani kwao balaaa.​
 
Tunafanya sana hizo kazi za nyumbani, yaani tunafanya tena vizuri tu, Ila hatutaki kushurutishwa wala kulazimishwa. Weekends huwezi tu kukaa kizembe the whole day bila kushika kitu, sio afya hata kidogo.
 
Teh teh ki africa hapo lazima uonekane bwege.
Kuna siku nilienda home kwetu na wife pa1 na first born wetu.Basi nikajichanganya siku moja kukaa na binti yangu kumlisha.Aisee kumbe wazaz wali mind kile kitendo balaa na wakahisi pengine wife ameshanipiga shuntama.Niliwekwa mtu kati kikao cha kijasusi wakat wife katoka mara moja.na kukatazwa katu katu kutofanya majukumu ya mwanamke abadan!
Hahahaha eti kikao cha Kijasusi,walihisi labda tayari ushaelekezwa kibra wewe
 
Najisikia vibaya sana kila wanaume wanavyonisema kuwa mimi ni mume bwege kisa namsaidia wife vikazi kazi.

Huwa sometime napenda kumsaidia kufua vyupi au kupika spesho msosi na siku naamua naenda zangu sokoni nanunua mahitaji ya home sasa hii imepelekea majirani kunikalia vikao kua nimelishwa limbwata na kuwa mume bwege. Hivi hii inakuwaje kwa jamii zetu za kiafrica?

Mbona wazungu au waarabu, wapemba wanafanya hivi? Kwangu binafsi na wivu balaa kwa wife inabidi nimsaidie tuu maana dah najua mwenyewe ninachokipata.

Asa hii imepelekea kusemwa kuwa mimi ni mume bwege, hivi kuna ubwege kumsaidia wife vikazi kazi?

Hayo ni mahaba lakini lazima iwe bila shuruti
 
Sio mbaya japo kwa dharura tu, ingawa ukiwazoeza hawa viumbe huwa wanajisahau sana, hata kama ukimsaidia sio kila mtu ajue kwamba huwa unamsaidia mkeo kuosha vyombo, ila usiwe unafua na vyupi bana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mwanamke wangu ntamsaidia vitu ambavyo hawezi kwa mfano wanawake wanaogopa umeme. Kuna kumshushia vitu vya juu ya kabati ama kutengeneza kitu chochote kibovu! Kukata nyama labda ndio kitu ambacho sionagi shida!

Nje ya hayo labda awe anaumwa aisee.
 
Akiwa mgonjwa ntamsaidia kila kitu nnachoweza ila kama yuko poa kwa mwaka inaweza kutokea mara moja kama sprz kwa sababu hawa watu ukiwazoesha imekula kwako atakuzarau! Ndo wanawake wakiafrika walivyo
Mwanamke wa kiafrika ukifanya vitu vya kum please anakudharau anakuona less of a man! Sio kosa lao sababu wengi wamekulia katika nyumba ambazo baba ni kavu a.k.a mkoloni ila wewe ukianza kumletea mapigo ya kifilipino lazma atakuona choko!

Wanajishaua tu humu kuwa they enjoy kusaidiwa hizo activity ila mwisho ataanza kuona kama hilo ni jukumu lako ndio unaambiwa si upike mbona unapikaga mi sio housegirl wako jifulie una mikono! 😂😂😂
 
Back
Top Bottom