Mauja
JF-Expert Member
- Oct 2, 2014
- 508
- 275
Ndio ninyi siku akiumwa au hayupo kaenda kujifungua unaanza kula magengenikuna siku utaambiwa ukaongeze na mkaa jikoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ninyi siku akiumwa au hayupo kaenda kujifungua unaanza kula magengenikuna siku utaambiwa ukaongeze na mkaa jikoni
Kumbe tupo wengi aisee goodNimetoka sokoni, nimemaliza kufua now nipo nimejiengesha yy anapika soon tunakula hakuna cha ubushoke wala nn just kusaidiana tu na kujenga furaha na raha ya ndoa
Mmh hiyo ID yako!!kumbe tupo wengi aisee good
ha ha ha kwan umeambiwa hatuwez kupika? tunaweza ila mazoea mengine kwa hawa wa upande wa pili yanavuka mipakaNdio ninyi siku akiumwa au hayupo kaenda kujifungua unaanza kula magengeni
unazibua chemba za wapi za dada zetu manake hilo jina lako tu tosha linaonyesha unafukua makaro weweNajisikia vibaya sana kila wanaume wanavyonisema kuwa mimi ni mume bwege kisa namsaidia wife vikazi kazi. Huwa sometime napenda kumsaidia kufua vyupi au kupika spesho msosi na siku naamua naenda zangu sokoni nanunua mahitaji ya home sasa hii imepelekea majirani kunikalia vikao kua nimelishwa limbwata na kuwa mume bwege. Hivi hii inakuwaje kwa jamii zetu za kiafrica?
Mbona wazungu au waarabu, wapemba wanafanya hivi? Kwangu binafsi na wivu balaa kwa wife inabidi nimsaidie tuu maana dah najua mwenyewe ninachokipata.
asa hii imepelekea kusemwa kuwa mimi ni mume bwege, hivi kuna ubwege kumsaidia wife vikazi kazi?
Penye kufua pichu, ndo tatizosiyo bwege .. we ni mume bora unajua thamani ya familia.. mkuu keep it up unatengeneza upendo kwenye familia yako na hautakaa uje kujutia maishani mwako... family first i like u
hata hapo sioni tatizoPenye kufua pichu, ndo tatizo
Mh! Haya bibie, inabidi unikusanyie zotehata hapo sioni tatizo
haya naanza jumatatuMh! Haya bibie, inabidi unikusanyie zote