BB_DANGOTE
Senior Member
- Sep 25, 2023
- 167
- 148
Achana na jf...achana na mitandao dogo
of coz i was studing few minutes ago .but it seem as am mood less thus thy am query regarding forna muda huu unahangaika mitandaoni wakati wenzako wako wanapiga msuli wa Lambert na Chamberlain
Soma masomo ya darasani kwanza ufaulu vizuri mitihani.mimi ni nimwanafunzi wa advance combination ya PCM ninatamani na nina malengo ya kusoma kwa bidii ila kama akili imechoka ivi na ninavitu vingi sijakava . na mda ndo unakalibia kuisha niingie kwenye mitihan mikubwa ......naomba ushauri wenu nifenyeje
PCM unapata na muda wa kuzurura huku, hongera inaonekana wewe ni kichwa.Mimi ni nimwanafunzi wa advance combination ya PCM ninatamani na nina malengo ya kusoma kwa bidii ila kama akili imechoka ivi na ninavitu vingi sijakava na mda ndo unakalibia kuisha niingie kwenye mitihan mikubwa.
Naomba ushauri wenu nifenyeje
Ungeandika tu kwa kiswahili kuliko hiki kiingereza kibovu. PCM haitaki chochote zaidi ya kukaza msuli. Hiyo simu achana nayo. Mitandao ya kijamii achana nayo. KINYUME NA HAYA NINAYOKUAMBIA TEGEMEA KUPATA SIFURI. Mimi pia nilisoma PCM.of coz i was studing few minutes ago .but it seems as am mood less thus why am query regarding for advice
Hama shule.Mimi ni nimwanafunzi wa advance combination ya PCM ninatamani na nina malengo ya kusoma kwa bidii ila kama akili imechoka ivi na ninavitu vingi sijakava na mda ndo unakalibia kuisha niingie kwenye mitihan mikubwa.
Naomba ushauri wenu nifenyeje
d(K)/dx=0 ππYani wewe ni mwanafunzi wa sekondari na huna hamu ya kusoma ,pole sana .
Hakuna elimu ngumu kama ya advance haswa kwa PCM/PCB.
Jiandae ku differentiate constant (Kutaga).
Anza na kimojawapo, usipaniki wala nnMimi ni nimwanafunzi wa advance combination ya PCM ninatamani na nina malengo ya kusoma kwa bidii ila kama akili imechoka ivi na ninavitu vingi sijakava na mda ndo unakalibia kuisha niingie kwenye mitihan mikubwa.
Naomba ushauri wenu nifenyeje
Hahahaha umepiga sehemu inayouma πAcha kuangalia pornograph acha masterbation within two weeks utakuwa umeanza kuregain strength. Huwezi kupata mental strength kwa kupiga punyeto alafu hapohapo unakula chakula cha shule
Naaam si unajua uki differentiate constant unapata zero/yai/sifuri π€£π€£π€£π€£π€£π€£.d(K)/dx=0 ππ