Hivi nimedanganywa humu au? Wiki ya pili ndani ya Lindi sijafanikiwa kupata mwanamke!!

Hivi nimedanganywa humu au? Wiki ya pili ndani ya Lindi sijafanikiwa kupata mwanamke!!

Ukiwa humu jukwaani, stori za urahisi wa upatikanaji wa wanawake Lindi zinafika elfu moja au zaidi kwa siku. Picha inayokuja kichwani ni kwamba ukifika tu wanakukimbilia......Big no!

Nina wiki ya pili sasa nahangaika na upwiru (genye) wangu bila mafanikio. Kila nikiwasimamisha na kuwaelewesha wanaishia kuninyali tu, huku 'wakinipandisha na kunishusha'.

Siwajulii au?!!!!!!! Nipeni mbinu basi nikatumie sehemu zingine sababu hapa kesho naondoka.

La kuambiwa changanya na lako.......JK.

unauhakikaa umefika paris pub?? kama hunywi huwezi wapata
 
Ukiwa humu jukwaani, stori za urahisi wa upatikanaji wa wanawake Lindi zinafika elfu moja au zaidi kwa siku. Picha inayokuja kichwani ni kwamba ukifika tu wanakukimbilia......Big no!

Nina wiki ya pili sasa nahangaika na upwiru (genye) wangu bila mafanikio. Kila nikiwasimamisha na kuwaelewesha wanaishia kuninyali tu, huku 'wakinipandisha na kunishusha'.

Siwajulii au?!!!!!!! Nipeni mbinu basi nikatumie sehemu zingine sababu hapa kesho naondoka.

La kuambiwa changanya na lako.......JK.
Fala ww ukienda mkoa hapo guest unapofikia ndo kuna mwanamke wa kula ila kama haumuelewi.

Mwambie akutafutie.
 
Una umri gani?
Ukiwa humu jukwaani, stori za urahisi wa upatikanaji wa wanawake Lindi zinafika elfu moja au zaidi kwa siku. Picha inayokuja kichwani ni kwamba ukifika tu wanakukimbilia......Big no!

Nina wiki ya pili sasa nahangaika na upwiru (genye) wangu bila mafanikio. Kila nikiwasimamisha na kuwaelewesha wanaishia kuninyali tu, huku 'wakinipandisha na kunishusha'.

Siwajulii au?!!!!!!! Nipeni mbinu basi nikatumie sehemu zingine sababu hapa kesho naondoka.

La kuambiwa changanya na lako.......JK.
 
Hahaha mkuu hufi ukikosa mlindi we chukulia poa rudi mkoani kwako endelea na aliyekuzoea
NB:wakati flani nilikuwa na safari nyingi sana za mwanza nikifika pale nyegezi nalala lodge flani nzuri TU saizi ya kati
Palikuwa na mhudumu dada flani tukazoeana sio sana
Siku hiyo nimeingia usiku sana nikawa na mpango wa kushinda hapo niondoke kesho yake nikamwambia dah hapa nalipia siku Moja tu maana niliingia saa nane nikaona niweke tahadhari akasema hakuna shida we ni mteja nikamwambia Sasa nitafutie na kampani nzuri ya kushinda nayo akasema poa
Mda si mrefu nikaona sms "ungependa kampani itoke nje au hata humu ndani!?"
Nikasema humu ndani maana walikuwa wahudumu wawili na wote nilikuwa nimewaangalia walikuwa wazuri ila ye muuliza swali alikuwa mzuri zaidi
Basi mda si mrefu akaja ndani akiwa na mto wa pili kumbuka hiyo ni kama saa kumi na nusu akaniambia nimekuja Mimi nikasema poa sana
Kufanya story iwe fupi Kila huduma tulikuwa tunamuagiza yule mwenzake (alinufaika na change sana) na huyu sikumuacha vibaya japo mwanzo mwisho hata hakugusia hela kwa mujibu wake alikuwa ameshanielewa mda ila asingesema basi Kila nikienda mwanza ye huwa mwenyeji
 
Back
Top Bottom