๐๐ ๐๐๐๐labda roho mtaka kitu
Really kabisa..Unapokuwa umelewa unakuwa sio mnafki
Nawashanga sana wanaona wivu tukiwa tunaclear bill ya 365 dadeki๐คNyie wanywa sodaa kilaa siku mnatusemaa sisi,mbona sisi hatuwawai kuwasema tukiwaa Bar?.!
๐๐Noma sanaHasa mlevi akishafikia hatua hii
View attachment 3268120
SawaWakati huo hisia za mlevi huwa active sana.
Ndio maana hata akimkumbuka marehemu baba huwa anaweza kuanza kulia tena upya kabisa.
Mnamwuliza vipi? Anakwambia niache niache!
Hata hisia za kusalitiwa akizikumbuka zinakuwa zipo juu sana wakati huo.
Anaweza kufanya revange ambayo mnajua alishasamehe kumbe ni kwa vike tu amekumbukia mazingira mabovu.
Sio poa hahahahahah ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃMlevi Bora ule demu wake kuliko kumwaga pombe yake atakutoa roho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hasa mlevi akishafikia hatua hii
View attachment 3268120