Hivi nyie kataa ndoa huwa mnamaanisha kutokuishi kabisa na mwanamke au mnamaanisha kutofunga ndoa kisheria (harusi )

Hivi nyie kataa ndoa huwa mnamaanisha kutokuishi kabisa na mwanamke au mnamaanisha kutofunga ndoa kisheria (harusi )

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Aisee unajua tunaweza kuwa tunabishana kuhusu kataa ndoa sijui kubali ndoa lakini hatujui maana yake vizuri. Ndo maana Nina swali je mnachomaanisha ni hamtaki kabisa kuishi na mwanamke pika pakua au hamtaki tu kufunga ndoa kisheria.

Kama ni kutoingia kisheria hata mimi nitawaunga mkono ila je nyie mko wapi huko ambapo mnapata wanawake wa kutaka tu kufunga ndoa kisheria.. Mimi wanawake zangu wote wawili niliobahatika kukaa nao msimamo wangu ulikuwa tusiwe na haraka za kufanya harusi kisheria.. Na uzuri siku hizi hata wazazi wanakubali tu uishi na mweza wako kikubwa ujulikane kwao basi.. Ndoa mbele Kwa mbele huko hata ukiwa na miaka 50 zinabarikiwa..

Nije kwenye point ya KUISHI na mtu.. Kama hata hilo la kuishi na mtu mnalipinga basi mna shida mahali aidha ni wabinafsi mnaona uchungu kula hela yako wawili.. Ila kwangu mimi ni faida sana, imagine mshahara wangu kwa mwezi ni mdogo baada ya makato na mikopo labda nabakiwa na laki 3..sasa ikitokea mwezi mzima sijapata activity ya kunipa posho huoni kama ni faida kwangu maana nikiwa na mwanamke ndani kama misosi ipo yeye nikimwachia laki na nusu huoni nitakula hata karibia mwezi mzima au week tatu Tena mlo mzuri...

Hapo hapo unamgonga bure sio kuliwa hela zako na Malaya.. Maana Malaya ukimtafuta karibia utatumia naye 40000 sasa kwa mwezi ukigonga Malaya watatu si umemaliza hela yote unaanza kuteseka hata ya kula.. Hapo hapo ukikaa na mtu anakufanyia kazi bure za usafi..

HITIMISHO:
naona vijana wa kipato cha Kati ndo kuishi na mtu kuna wa favor sana yaani kipato cha 200000-500000 kwa mwezi.. Nyie wengine wenye hela nyingi mnaogopa mnaona kama kiumbe anakuja kufaidi jasho lako... Na nyie wengine msio kabisa na ramani za hela,lazima mkatae kuishi na mtu ni aibu maana hata ya kununua chakula kwa jumla mnatetemeka itawashinda.

All in all ni suala la maamuzi ya mtu ni suala la uhuru sijasema nalazimisha ila nimetia tu neno kuunga mkono kwamba faida za wawili ni sana kuliko hasara.Tunaishi Sawa tuko wazima ila sometimes mahoma yanaweza kukushika usiku ukakosa hata mtu wa kukuchotea maji au kukuchemshia uji ukafa kizembe kabisa.
 
Upweke ni changamoto sikupingi lkn unaweza tatua tatizo Moja Kwa kutengeneza lingine, unaweza kwepa upweke ila kelele humo ndani sasa
Kelele unahisi chanzo kikubwa ni nini?
We si mtu wako huyo lazima umsikilize anachotaka ni kama mlezi wako yaani demu akulalamikie unachelewa kurudi we unaona ni kelele au anakutakia mazuri??
 
Mkubaliane kuoshi bila nfoa ingawa baada muda mtapishsna kero zitakuwa nyingi ataamza kuangalia pembeni akiona hakuna mwelekeo
Kikubwa si mapenzi tu na mipango ya muda mrefu mnapanga atajua tu huyu wangu.. Kwa mfano.. Umepata labda hela fulani We si mwanaume tafuta hata mashamba mawili ya bei ya kawaida kabisa nunua vijijini huko halafu moja unaweka Jina lake.. Yaani atahisi tu una Nia naye..
 
ndoa 😃
Screenshot_20231228-211949~2.jpg
 
Una wazo zuri, niliwahi kulileta humu kama njia ya kupambana na changamoto za pre-mature marriage divorces.

Watoto wa kike walinishangaa na kuniona kama mwendawazimu ila i had a point. Kwa zama hizi ni vyema sana kuwaweka watoto wa kike kinyumba before making major decisions in life. Kama anakuigizia utajua tu mtu hawezi kufanya maigizo miaka 6.
 
Una wazo zuri, niliwahi kulileta humu kama njia ya kupambana na changamoto za pre-mature marriage divorces.

Watoto wa kike walinishangaa na kuniona kama mwendawazimu ila i had a point. Kwa zama hizi ni vyema sana kuwaweka watoto wa kike kinyumba before making major decisions in life. Kama anakuigizia utajua tu mtu hawezi kufanya maigizo miaka 6.
Miaka 6 mingi mkuu hata mitatu tu maana hapo lazima mpitie ups and down so lazima utamjua tu wa kukukimbia kipindi huna mnashindia dagaa na uji na utamjua ambaye anavumilia yote nyakati za nyama na za dagaa
 
Kikubwa si mapenzi tu na mipango ya muda mrefu mnapanga atajua tu huyu wangu.. Kwa mfano.. Umepata labda hela fulani We si mwanaume tafuta hata mashamba mawili ya bei ya kawaida kabisa nunua vijijini huko halafu moja unaweka Jina lake.. Yaani atahisi tu una Nia naye..
Atakuwa anakuuliza utaenda lini kwetu wananisumbua....sana nenda tu hakuna shida..nitakuongezea mahati kama shida ni mahari......atanyenyekea weeee....ipo siku utaingia tuu....ile kukaa nae miaka 2 sheroa inamtambua kama mke iko live au ?
 
Una wazo zuri, niliwahi kulileta humu kama njia ya kupambana na changamoto za pre-mature marriage divorces.

Watoto wa kike walinishangaa na kuniona kama mwendawazimu ila i had a point. Kwa zama hizi ni vyema sana kuwaweka watoto wa kike kinyumba before making major decisions in life. Kama anakuigizia utajua tu mtu hawezi kufanya maigizo miaka 6.
Tena uzuri mkuu siku hizi hata wazazi wamenyosha mikono maamuzi wameachiwa watoto.. Zamani me nakumbuka babu yangu ana kuwa mkali akisikia binti yake ana mahusiano na mtu au haonekani home siku mbili kalala kwa msela... Ila siku hizi mabinti wenyewe hawakai home wanaruhusiwa kwenda kujitafutia maisha(maokoto) huko mbele sasa hilo ndo gap la kumvuta.. Kikubwa shida ndogo ndogo unawasaidia wazazi 20,000 hizi sio mbaya kuwa tumia
 
Atakuwa anakuuliza utaenda lini kwetu wananisumbua....sana nenda tu hakuna shida..nitakuongezea mahati kama shida ni mahari......atanyenyekea weeee....ipo siku utaingia tuu....ile kukaa nae miaka 2 sheroa inamtambua kama mke iko live au ?
Unamuuliza kwani ndugu zako wote wamefunga harusi kama sio wote haraka ya nini anatakiwa atulie awe mpole kwanza.
 
Atakuwa anakuuliza utaenda lini kwetu wananisumbua....sana nenda tu hakuna shida..nitakuongezea mahati kama shida ni mahari......atanyenyekea weeee....ipo siku utaingia tuu....ile kukaa nae miaka 2 sheroa inamtambua kama mke iko live au ?
Hilo swali lazma aulize ila sound unampigisha miaka inaenda hadi utakapokuwa tayari
 
Back
Top Bottom