Hivi nyie kataa ndoa huwa mnamaanisha kutokuishi kabisa na mwanamke au mnamaanisha kutofunga ndoa kisheria (harusi )

Hivi nyie kataa ndoa huwa mnamaanisha kutokuishi kabisa na mwanamke au mnamaanisha kutofunga ndoa kisheria (harusi )

Tena uzuri mkuu siku hizi hata wazazi wamenyosha mikono maamuzi wameachiwa watoto.. Zamani me nakumbuka babu yangu ana kuwa mkali akisikia binti yake ana mahusiano na mtu au haonekani home siku mbili kalala kwa msela... Ila siku hizi mabinti wenyewe hawakai home wanaruhusiwa kwenda kujitafutia maisha(maokoto) huko mbele sasa hilo ndo gap la kumvuta.. Kikubwa shida ndogo ndogo unawasaidia wazazi 20,000 hizi sio mbaya kuwa tumia
Wazazi wanajua soko gumu so wanalegeza, mi walitaka kunivuruga ila baada ya kusikia mtoto wao ana kidude waka chill
 
Una wazo zuri, niliwahi kulileta humu kama njia ya kupambana na changamoto za pre-mature marriage divorces.

Watoto wa kike walinishangaa na kuniona kama mwendawazimu ila i had a point. Kwa zama hizi ni vyema sana kuwaweka watoto wa kike kinyumba before making major decisions in life. Kama anakuigizia utajua tu mtu hawezi kufanya maigizo miaka 6.
Ni muhimu sana hili swala. Mpaka ikifika siku mnafunga ndoa sababu ya kufunga hiyo ndoa inakuwa ni mmeshafahamiana na kuzoeana sio kupendana maana upendo unadanganya sana.
 
Ile ndoa ya masheria ya kanisani au msikitini ndo changamoto.
Ila kama ukiamua kuishi na pisi tu bila hizo mambi mbona fresh tu.

Kikubwa tu ni kumpata yule anaeelewa hali yako, mnaejuana na ambae hayuo kwako kwa kujinufaisha yeye tu bali yupo kwako kwa ajili ya kujenga familia.
 
Yeah we upo kama mimi maana kweli inawezekana ukisharasimisha kisheria ndo malalamiko yasemwayo yanaanza ila mtu mko naye pika pakua hawezi kuleta ujeuri sana.. Kikubwa ni kuishi nao tu Kwa akili basi
Ukirasimisha anakua na uhakika anatambulika pande zote za kifamilia, anatambulika kijamiii kama mke wako & kanisani/msikitini (kiimani) anatambulika sasa hyo hua inawapa jeuri sana anaweza akaaanza kukusumbua
 
Kelele unahisi chanzo kikubwa ni nini?
We si mtu wako huyo lazima umsikilize anachotaka ni kama mlezi wako yaani demu akulalamikie unachelewa kurudi we unaona ni kelele au anakutakia mazuri??
Vingine anaweza kua sawa lkn mda mwngn anakua kero unaweza fanya mistake aisee ikawa fimbo ya kukusimangia

Kulalamika mda mwngn ni haki yake sawa lkn Kuna vitu anakua anazingua mfano Kuna tabia anaweza akakukuta nazo mwanzoni akavumilia mkianza maisha anakugeuka vitu kama mpira
 
Una wazo zuri, niliwahi kulileta humu kama njia ya kupambana na changamoto za pre-mature marriage divorces.

Watoto wa kike walinishangaa na kuniona kama mwendawazimu ila i had a point. Kwa zama hizi ni vyema sana kuwaweka watoto wa kike kinyumba before making major decisions in life. Kama anakuigizia utajua tu mtu hawezi kufanya maigizo miaka 6.
Ikiisha miwili tu, mnakuwa wanandoa halali. 😁
 
Upweke ni changamoto sikupingi lkn unaweza tatua tatizo Moja Kwa kutengeneza lingine, unaweza kwepa upweke ila kelele humo ndani sasa
NAKAZIA HII POINT. Kwa kimombo You can find the best solution by creating the most worst problem halafu unarudi kulekule tena.
 
Utafiti wangu ndogo niliofanya kataa Ndoa Wana matatizo 3.

1. Wanaupungufu wa nguvu za kiume hivyo wanakosa perfect pair.
2. Wana magonjwa sugu au yasitibika hivyo kuficha mapungufu yao
3. Wanajihusisha na mapenzi ya jinsia Moja au wameathirika na ufiraji hivyo hawawezi kuishi na wenza wa kike ama wanawakimbia sababu za ufiraji.

Hizi nyingine ni ndogo sana

1. Kipato kidogo
2. Tabia za wenza wao hazirishi
3. Historia ya kunyanyaswa kingono au kubakwa.
 
Back
Top Bottom