Hivi nyie michepuko mnajiona nyie nani?

Uzi ufungwee hapaaa.
 
Kawaida yao michepuko kujizima data

mamaJ aliwahi Kwenda kujitambulisha mwny kwa mamaG, eti kachoka kufichwa Kama ARV
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo mchepuko ni mshirikina eidha Yeye ni mchawi, lakini angekuwa mchawi angekuwa mpole-unafiki na angeishia kutangaza Kwa watu wa pembeni, nashawishika Anapewa kiburi na mganga wa kienyeji ndio sababu na usidhani anatania, Kwa hiyo mwenye mume anatakiwa awe makini maana yaonekana hata Mwanaume keshawekwa mfukoni, hajielewi...
 
Amepata support ya kutosha toka kwa mumewe, NA INDIRECT SUPPORT TOKA KWA MKE. Support ya mke, wanawake wengi huwa hawaioni. Yaani nyani haonagi kunnddulle..!!
 
Juzi nilikuwa kijiweni usiku nimeona Mwanamke mwenye ujauzito 6-7 anamtafuta mume wake usiku mida ya saambili usiku huyo Mume wake alizoa Malaya muuza chakula Mama ntilie na kwenda naye guest hivyo alivyoenda usiku hakurudi kwake na kutompa mke Taarifa alipo lala .

So yule Mama alivyofika kijiweni kutaka kujua je huyo Mume wake yupo mzima au amekufa 😉 na kukuta hajafa ila kaenda kuzagamua Mwanamke Mwingine .


Wanaume baadhi wanakosea Sana kuishi Maisha Kama hayo ya kulala na Malaya .
 
Hapo aiyekua na akili ni mwanaume,
 
Kapewa nguvu na mume hilo lipo wazi. Mchepuko hana tatizo hapo
 
Siyo vizuri kumtafuta uchokozi mwenzie.
 
Ukiona mchepuko kamfata mke wa ndoa ujue kabisa mwanaume ana msimamo na anampenda vilivyo mke wake. Michepuko mingi huwa inaingia kwa gia ya kudhani wanapendwa kumbe wanaume wao lengo lao ni kupata tu mbususu . Wakiona bado wanafichwa wanajilazimisha kujipeleka ili mke wa ndo upaniki uondoke. Sasa dawa yao wala hugombani naye.

Kwa hilo mke wa ndoa wala asipaniki na wala asigombane na mumewe zaidi aongeze mahaba.

Kuna rafiki angu alikuwa kwenye ndoa tena changa tu,,,siku anapigiwa simu na mwanamke oooh mwanaume siku hizi hakupendi ndo maana kaja kwangu,,oooh sijui wewe uko mbali huko uko busy na kazi. Shoga angu alichomjibu wewe acha akulale tu kama anakupenda kiasi hicho mwabie akuoe siwezi kumuacha eti kwa sababu yupo na wewe,,hayo maneno unayosema mwambie aje aniambie yeye sio wewe. Toka siku hiyo hakuwahi kutafuta tena.
 
Ni kweli hajielewi
 
Your browser is not able to display this video.


The power of pussy
The power of beauty
The power of confidence
The power of dominating those who are not confident
The power of knowing your status
The power of destruction other people's peace and happiness....

Na yote hii husababishwa na wanaume kutaka vyote, wife material na mwanamke chakaramu anayeweza kufanya utundu public na indoors.
Sababu ni wanawake wachache sana wana hizo sifa kwa pamoja, huishia kuoa wife material ila yule side chick lazima awe wa manjamnjam.

That's life, na ndo wanadamu wanaiishi na iko mitaani tunaona wanavyoishi, tunasikia kwa kusimuliwa na tunasoma yaliyoandikwa.

Asiyetaka jakamoyo anakimbiza mbawa zake kwa kuwa mseja au ana ndoa ila anakuwa hajali makandokando mradi maisha yanasonga na ndo hayo yanayoishwi.

Ukiona mpaka yamerekodiwa hivi ujue yapo...

Alamsiki.
 
Hii dharau kaipata kwa bwana wake, nyie me mnatabia ya kudhaliilisha wake zenu mkiwa na mchupuko, Siri zote unampa kuanzia za nyumbani, chumbani hadi kitandani yanakutoka utafiki umekunywa maji ya chooni, Sasa ukimkuta hana akili ndio Kama hayo, ila anachotakiwa kujua me akimchoka hato shidwa kumuacha huyo mchepuko neno moja tu "mke wangu kajua anataka kuniacha hivyo tusijuane", kamaoiza
 
Kawaida yao michepuko kujizima data

mamaJ aliwahi Kwenda kujitambulisha mwny kwa mamaG, eti kachoka kufichwa Kama ARV
Mimi ningekuwa mama G namwambia ahsante kwa kujitambulisha halafu naendelea na shughuli zangu, halafu namsubiri huyo mficha ARV, Kama sipungukiwi kitu hata yeye simuulizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…