Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,051
- 5,104
Huenda ikawa mke pia ndio sababu mume akawa na mchepuko sijui umelifikiria hilo...???Ona wanawake tulivyo wa ajabu. Analia na mchepuko na kumuacha mume aliyeleta hiyo shida ya mchepuko.
Yani mume wala hana kosa kabisa, na wataendelea kuishi vizuri huku akimlaumu mchepuko kwa kutaka kuvunja ndoa yake!
Amkeni jamani, deal na mume wako sio mchepuko. Mpaka mchepuko anafikia stage hiyo amepata support ya kutosha kutoka kwa mumeo.
Inasikitisha sana!
Sasa mkifikia hapo si muachane tu? Mi yule mwanaume wangu nampenda sana ila akifikia stage anaona bora awe na mchepuko mpaka kufikia stage ya kunivunjia heshima haifai tuendelee tena na hiyo ndoa.Huenda ikawa mke pia ndio sababu mume akawa na mchepuko sijui umelifikiria hilo...???
Ukute hutaki kukata...😅Sasa mkifikia hapo si muachane tu? Mi yule mwanaume wangu nampenda sana ila akifikia stage anaona bora awe na mchepuko mpaka kufikia stage ya kunivunjia heshima haifai tuendelee tena na hiyo ndoa.
Inauma lakini kuachana ni bora zaidi kila mtu aishi maisha yake kikamilifu.
Haijalishi mwenza kafanya nini, mchepuko sio suluhisho. Siamini ktk kuchepuka.