Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Aaah yamenifika hapa!
Nahisi hii ni vita kali na wengi wetu tunaingizwa mkumbo tu, wekeni sababu za msingi hapa tuone.
Mimi rasmi simo kwenye huo upotoshaji, kama kuna sehemu niliwahi kunukuliwa basi nasema nilikuwa nimelewa au nilishinikizwa.
Puuzeni kauli hiyo na mnisamehe bure, nimezaliwa upya.
Ncha Kali.
Nahisi hii ni vita kali na wengi wetu tunaingizwa mkumbo tu, wekeni sababu za msingi hapa tuone.
Mimi rasmi simo kwenye huo upotoshaji, kama kuna sehemu niliwahi kunukuliwa basi nasema nilikuwa nimelewa au nilishinikizwa.
Puuzeni kauli hiyo na mnisamehe bure, nimezaliwa upya.
Ncha Kali.