Hivi nyie mnaobeza na kukandia 'watoto wa 2000s' mna hoja au ni wivu tu na maslahi binafsi?

Hivi nyie mnaobeza na kukandia 'watoto wa 2000s' mna hoja au ni wivu tu na maslahi binafsi?

Hawa watoto hawajui jinsi gani tumechapwa kwa cassete ya msondo kukwama kwenye redio..
Au singi kurudi umeme umekata VHS imekwama kwenye deki tuacheni tuu.. watoto wa 2000 mkipunguza ujuaji itakuwa sawa..
Cc min -me nawenzakoo kina cacutee
Jamani
Sa me niseme nn
 
Back
Top Bottom