Kutoka kwa kaboo snoopHawana sababu za msingi wanaiga mkumbo tu
Watoto wa elfu 2 wamerithi tabia kutoka kwetu kaka zao na dada zao!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoka kwa kaboo snoopHawana sababu za msingi wanaiga mkumbo tu
Watoto wa elfu 2 wamerithi tabia kutoka kwetu kaka zao na dada zao!
Watoto wengi wa 2000s hawana ugumu wa kuanza maisha na kupiga hatua, sio kama wazazi wao ambao kabla ujenge nyumba yako ilibidi ujengee wazazi wako kwanza.Wazazi wao walizaliwa 60s, 70s na early 80s. Tuseme nao wa hovyo tu, yaani kama vitoto vya 2000s ni vya hovyo, hilo ni zao la wazee wao.
Miaka ya 2000s ndio arv zimekuja kwa kasi kupunguza vifo vya aids, uzazi wa mpango umeshika kasi, y2k na mambo yake mengi.
Love Hujawahi kutana na twakike twa 2000's utupe mwongozo??😊🤔🤔🤔!
Mkuu au na wewe mtoto wa 2000s husomi kwa uelewa!??Kupakatwa wameanza zamani tu, tena si ajabu mifano yooote unayoijua hakuna wa 2000s..... bado naamini ni chuki na wivu tu.
Suala la kumiliki gari na kujenga ni basic needs, wala haipaswi kuwa gumu kwa umri wowote.... zamani mlikuwa na vitisho ndivyo vimewachelewesha wengi.
😂😂😂Sikuwahi kuku quote dada ila leo imenibidi.Love Hujawahi kutana na twakike twa 2000's utupe mwongozo??😊🤔🤔🤔!
Nasikia ni noumaaa narobotatu
Sio wivu ila hawana akili....
Yaani hawana akili aiseee
Ni kweli mkuu tunawakimbiza kila idaraIssue ni kuwa sie watoto wa 2000's ni wa-noma kila idara kiasi kwamba tunaandamwa kwa kuonewa wivu dhidi ya mafanikio yetu.
😂😂😂Sikuwahi kuku quote dada ila leo imenibidi.
Kudate visichana vya 2000s aisee uwe na uvumilivu,ustahamilivu,ujasiri,busara na hekima ya hali ya juu.
Aaah yamenifika hapa!
Nahisi hii ni vita kali na wengi wetu tunaingizwa mkumbo tu, wekeni sababu za msingi hapa tuone.
Mimi rasmi simo kwenye huo upotoshaji, kama kuna sehemu niliwahi kunukuliwa basi nasema nilikuwa nimelewa au nilishinikizwa.
Puuzeni kauli hiyo na mnisamehe bure, nimezaliwa upya.
Ncha KSaali.
Kutoka kwa kaboo snoop
Kutoka kwa kaboo snoop
Alafu na wewe ni miongoni mwao 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
Leejay49 njoo uwape mwongozo hawa mama!Aaah yamenifika hapa!
Nahisi hii ni vita kali na wengi wetu tunaingizwa mkumbo tu, wekeni sababu za msingi hapa tuone.
Mimi rasmi simo kwenye huo upotoshaji, kama kuna sehemu niliwahi kunukuliwa basi nasema nilikuwa nimelewa au nilishinikizwa.
Puuzeni kauli hiyo na mnisamehe bure, nimezaliwa upya.
Ncha Kali.
Achana nao, siye tunafaidi. Wao ni wivu wa kukosa na frustrations za mashangazi.inabidi uwape tu ushuhuda big daddy 😃☺️
SureOne Man down over, I repeat one Man down over
Hahaha😃😂😂😂Achana nao, siye tunafaidi. Wao ni wivu wa kukosa na frustrations za mashangazi.