Kupakatwa wameanza zamani tu, tena si ajabu mifano yooote unayoijua hakuna wa 2000s..... bado naamini ni chuki na wivu tu.
Suala la kumiliki gari na kujenga ni basic needs, wala haipaswi kuwa gumu kwa umri wowote.... zamani mlikuwa na vitisho ndivyo vimewachelewesha wengi.
Mkuu au na wewe mtoto wa 2000s husomi kwa uelewa!??
Embu nirudie maelezo soma kwa makini.
Kwanza nikuweke sawa,sijasema kama kupakatwa wameanza sasa hivi laa hasha.
Vijana wa sasa hivi wanataka mambo makubwa pasi na KUJISHUGHULISHA.
Unaweza ukamkuta akakwambia nataka gari nzuri,nyumba nzuri na pesa,ila ukimuuliza una mipango gani ya kutimiza hivyo vyote,jibu hana anakaa kushangaa tu.
Ndio maana nikakwambia kuna uamko wa kupambana ufanikiwe mapema na kuna mihemko ya kutaka ufanikiwe mapema.
Uamko utakufanya ujenge mikakati na upambane kijuhudi na kiakili.
Ila mihemko itakufanya utake vitu kwa pupa pasi na kujua unavipata kwa mikakati ipi,hivyo hiyo hupelekea kufanya hata vitu visivyotakiwa kufanywa ili ufanikiwe.
Ndio maana nikasema vijana wa siku hizi kupakatwa ni kitu rahisi sana ili afanikishe yake.
Hata mabinti wamekua ni wakujiuza sana mapenzi kwao ni pesa kama una pesa atakupa chochote kile.
Ndio maana mabinti wa siku hizi wanachezeleka sana.
Embu fuatilia kipindi cha nyuma na sasa kipindi kipi ushoga umezidi kama sio sasa hivi!?
Vijana wa sasa hivi walaini laini sana kimwili na kiakili.
Nakusisitiza mkuu,kuna uamko wa kufanikiwa na kuna mihemko ya kufanikiwa.
Vijana wa siku hizi wana mihemko.
Kama hujanielewa hapa mkuu SHIKAMOOOOO pia mimi wala sio mkubwa ni wa 1990s.