Kitchetche
Member
- Apr 2, 2017
- 71
- 78
Hizo zote sio stareheBinafsi nataka kuacha ulevi/starehe zote, yaani wa pombe, sigara nk.
Je nikiache nitumie nini kama mbadala waa starehe ya pombe, sigara nk.
Sitaki kuhusu uzinzi.
Maana unapokunywa pombe unakuwa chizi. So unafanya mazoezi yakuwa chizi kila siku. Mwisho utakuwa chizi kweliBinafsi nataka kuacha ulevi/starehe zote, yaani wa pombe, sigara nk.
Je nikiache nitumie nini kama mbadala waa starehe ya pombe, sigara nk.
Sitaki kuhusu uzinzi.
Sawa ila naburudika sana nkitumia,Hizo zote sio starehe
Maana unapokunywa pombe unakuwa chizi. So unafanya mazoezi yakuwa chizi kila siku. Mwisho utakuwa chizi kweli
Yaani ni balaa asubuhi na kama ulilala na mwanamke usiku huo utasema sasa ni wazi Mimi in mgonjwa!Bahati nzuri na mm nimewahi kunywa pombe. Ila asubuhi ukiamka unakuwa mgonjwa sababu ya hangover. Pia pombe huleta magonjwa na udhaifu wa mwili
Ni kweli mkuu upo sahihi, naamini umeacha Je umeachaje?Bahati nzuri na mm nimewahi kunywa pombe. Ila asubuhi ukiamka unakuwa mgonjwa sababu ya hangover. Pia pombe huleta magonjwa na udhaifu wa mwili
Mmmmhh we ulikua kama Mimi au niseme upon kama Mimi.Yaani ni balaa asubuhi na kama ulilala na mwanamke usiku huo utasema sasa ni wazi Mimi in mgonjwa!