Super women 2
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 5,164
- 6,540
Kua mwizi,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kua mwizi,
Tumia Maji, Fresh juice, maziwa, hakika utafurahia maisha, utapata hata mda mzuri wa kukaa na familiaBinafsi nataka kuacha ulevi/starehe zote, yaani wa pombe, sigara nk.
Je nikiache nitumie nini kama mbadala waa starehe ya pombe, sigara nk.
Sitaki kuhusu uzinzi.
Avatar yako inaniambia huko uchagani mtoto akizaliwa anaanza na mbege ha haaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mmmmhh we ulikua kama Mimi au niseme upon kama Mimi.
Binafsi nataka kuacha ulevi/starehe zote, yaani wa pombe, sigara nk.
Je nikiache nitumie nini kama mbadala waa starehe ya pombe, sigara nk.
Sitaki ku
NDUGU YANGU UKIFANIKIWA KUACHA POMBE SIMAMA KATIKA KUFANYA IBADA, JUA KARIBU UTUTOKE.
Unakunywa lita ngapi kwa siku?Yafanye maji ya kunywa kua starehe yako hakika hutojutia
starehe yetu ****Binafsi nataka kuacha ulevi/starehe zote, yaani wa pombe, sigara nk.
Je nikiache nitumie nini kama mbadala waa starehe ya pombe, sigara nk.
Sitaki kuhusu uzinzi.
Pombe haina faida yeyote katika maisha Ndugu,Binafsi nataka kuacha ulevi/starehe zote, yaani wa pombe, sigara nk.
Je nikiache nitumie nini kama mbadala waa starehe ya pombe, sigara nk.
Sitaki kuhusu uzinzi.
Tumia Maji, Fresh juice, maziwa, hakika utafurahia maisha, utapata hata mda mzuri wa kukaa na familia
Kuogelea, kusurf, kupumzika ufukweni, kuchek movie, outing popote, and whatever... Music, nini na nini
Ngenya
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Avatar yako inaniambia huko uchagani mtoto akizaliwa anaanza na mbege ha haaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]