Nmesoma komemts kibao wengi wanasema sex....Sex ni basic need na wala siihesabii kama starehe....kukosa sex ni kama kukosa pumzi, chakula, nguo, malazi.
wengi tumefundishwa kuwa kuna mahitaji matatu makuu ya binadamu ila kwa tuliobahatika kufika vyuoni tumeweza kuyajua mawazo kama ya kina moslow yaliyotengeneza moslow's pyramid of needs, So all in all Sex is a basic need na ndio mana ukiikosa kwa muda waweza kuwa mpiga puli hatari
Mimi sinywi pombe, sivuti kitu lakini starehe yangu ni kufanya kitachongurahisha kulingana na mazingira, muda mwimgi napenda kujifunza na kutengeneza software za kompyuta mana ndo inakuwa burudani tosha...