Hivi nyie simba nani amewaloga?

Hivi nyie simba nani amewaloga?

leah2

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2015
Posts
584
Reaction score
1,437
Yaani kuitwa mpnzi au shabiki wa simba lazima uwe na ufahamu mdogo..ndiyo lazima uamini kila unachoambiwa hata kama hakiwezekani.

Niliwaambia Niyonzima hawezi kuichezea simba hata iweje kwa sababu simba haina ubavu wa kuchukua mchezaji wa yanga ambaye bado anahitajika na yanga lkn nyie viumbe hamuelewi!

Najiuliza nani amewaloga? Kwann hamsumbua vichwa vyenu kufikiri?

Kikwete alisema za kuambiwa........
Lkn nyie za kuambiwa mnachukua hizozizo duu poleni sana..

Kaaeni mkijua Niyonzima hajasaini msimbazi na hata kaa asaini , viongozi wenu wakiwaambia amesaini wanawachezea akili zenu
Hii ni laana ya Rage nendeni mkamuangukie
 
Wakikwambia wameshamsainisha ila wanasubiri mkataba wake na Yanga uishe ndo wamtangaze kuepusha gharama za kuvunja mkataba...!!?

Mi nlidhan una attachment ya uhakika ya kuwaprove wrong[emoji57]
 
Hivi simba tumtake Niyonzima wa kazi gani
Simba imekamilika usajiri wetu ni mbele tu hawa wengine ni kenge katika mamba


Team mkodisho inawauma nini Niyonzima mmeshindwa kumlipa wenyewe nendeni mkamwangukie Manji na msahau kurudi [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]


Yanga Mbona siwasikii tena ule uwanja wenu heka 700 kimbiji?
 
Joseverest ukifata akili za huyo dada na wewe utakua mbumbumbu kama yeye

mwambie aoneshe wap viongoz wa simba wamewaambia mashabiki kua wame msaini Hicho kizee cha yanga
Huyu dada humuwezi maana mwenzio kila anachokiongea ana hakika nacho tofauti na wewe unayelishwa kila kitu.

Huyo unayemwita mzee kutwa kucha mnazusha kunasa saini yake mpaka picha yake mnaivisha mijezi yenu
 
Huyu dada humuwezi maana mwenzio kila anachokiongea ana hakika nacho tofauti na wewe unayelishwa kila kitu.

Huyo unayemwita mzee kutwa kucha mnazusha kunasa saini yake mpaka picha yake mnaivisha mijezi yenu
pale mnapoelekeza akili zenu chin
 
Hivi simba tumtake Niyonzima wa kazi gani
Simba imekamilika usajiri wetu ni mbele tu hawa wengine ni kenge katika mamba


Team mkodisho inawauma nini Niyonzima mmeshindwa kumlipa wenyewe nendeni mkamwangukie Manji na msahau kurudi [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]


Yanga Mbona siwasikii tena ule uwanja wenu heka 700 kimbiji?
Mngekesha mnalitaja jina lake kwenye magroup yenu?
 
Hivi simba tumtake Niyonzima wa kazi gani
Simba imekamilika usajiri wetu ni mbele tu hawa wengine ni kenge katika mamba


Team mkodisho inawauma nini Niyonzima mmeshindwa kumlipa wenyewe nendeni mkamwangukie Manji na msahau kurudi [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]


Yanga Mbona siwasikii tena ule uwanja wenu heka 700 kimbiji?
Hii ndiyo shida ya kujibizana na mbumbumbu, tunazungumzia usajili wa Niyonzima anarukia ya uwanja..utadhani simba ina uwanja tayari
 
Mpaka mje kujitambua yanga tupo mbali
Mngekuwa mnajitambua mngefanya huu ufala?
Majinga kweli nyie...
Mlitoa sana mapovu na bado mnaendelea kupovuka, toeni mpaka povu la magadi!
83e79a5b89b609e570624cd60a712861.jpg
 
Hii ndiyo shida ya kujibizana na mbumbumbu, tunazungumzia usajili wa Niyonzima anarukia ya uwanja..utadhani simba ina uwanja tayari
Wewe pompolilo kweli hilo tu umeliona? Hivi umeenda kumfulia Manji wenu Leo?
 
Back
Top Bottom