kajojo
JF-Expert Member
- Jun 9, 2012
- 2,946
- 5,470
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na kweli ni majina tu ndo yanatu changanyaMajina tu hayo Malyafyare ni chapati za kuchoma na mikate ya nyama katikati, wala hakuna jipya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na kweli ni majina tu ndo yanatu changanyaMajina tu hayo Malyafyare ni chapati za kuchoma na mikate ya nyama katikati, wala hakuna jipya.
Hahahahahahahah........eti supu ya maharageHiyo ni misosi ya Wazungu.
Sisi Wanaume wa Dar tunakula embe kwa chumvi na limao. Chipsi zege, Mahindi ya kuchoma na pilipili, mchicha wa bonde la msimbazi, pweza na chachandu, ngisi, supu ya maharage na chapatti nk.
Karibu D'aslam......Huku Viongozi wako wakuu ndipo wanapoishi.
Hujawahi kuona kwenye tafrija zetu tunakunywa juice kwa pipi?
Kalaghabaho
Ni sawa na mshikaji mmoja hapa alikuwa analalamika alienda kwa hoteli akatajiwa majina ya vyakula akifikiri amepatia kumbe kaagiza MAKANDEMajina tu hayo Malyafyare ni chapati za kuchoma na mikate ya nyama katikati, wala hakuna jipya.
Duh! hapo kwenye red unatishaDah! Bora nimepata mwenzangu. Haya mauchafu huwa siyafagilii hata kidogo. Huwa nashangaa sana nikiona watu wanavyohehuka nayo. Niwekee ugali wangu na samaki wa kukaanga mchicha chukuchuku au wa nazi, pilipili debe na gudulia langu la maji roho yangu KWATUU.
Hahahahahah.... umenikumbusha hata mimi kuna siku na mimi watu waliagiza bag na mimi nikafanya mbwembwe nikaagiza pia, nilipofika nyumbani ni siri yangu coz tumbo lilianza kuzingua kabla sijafika nyumbani nikawa mnajikaza tunikila piza au bags naharisha sana yani filimbi tupu maliwtoni had I aibu
umechanganya wa Africasana mwingine na alikuwepo hata kabla wa morocco hajahama,wa morocco walihamia leaders nlienda majuzi na lara1 hata hatukuenjoy ile taste hakuna,kwa hasira tukaenda mlimani kula vipapatio vyenye pilipiliMkuu wewe upo vizuri. Tutafutane tukale burger, Yule jamaa alokuwa akitengeneza pale Moroco kahamia Africa sana. Twenzetu baada ya hapo tukanywe soda pale kwenye bustani ya Ambiance. Tutakaa huku tukijadiliana fujo za akina espy kule MMU.
lara1 mzima lkn!umechanganya wa Africasana mwingine na alikuwepo hata kabla wa morocco hajahama,wa morocco walihamia leaders nlienda majuzi na lara1 hata hatukuenjoy ile taste hakuna,kwa hasira tukaenda mlimani kula vipapatio vyenye pilipili