Hivi nyie wenzangu mnawezaje kuishi na wanaume wazubaifu?

Ukikaa mbele wanataka ukae nyuma, ukikaa nyuma wanataka ukae mbele!!
Na ukikaa kati ni haiwezekani 😁😁

Kifupi mwanamke haeleweki
Taabu kweli kweli ukiwa busy ni shida ukikosa cha kukufanya uwe busy nayo shida. Ukichelewa kurudi tabu, ukiwahi napo tabu yaani kueleweka kwao n ngumu.
 
Machepele na mwenye fujo kama Mimi itaniweza sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…