Hivi nyumbani kwa Rais huwa pana facilities zote za Ikulu?

Hivi nyumbani kwa Rais huwa pana facilities zote za Ikulu?

So huwa analala bure au anajilipa?
Kama anajilipa hiyo si conflict of interest makosa ambayo huwa anawatumbua wenzake hadharani?
I lost trust in this Fake mzalendo
Nadhani wasaidizi wake watakua wanalipa kutumia zile rooms za lodge.. otherwise yeye pale ana nyumba yake binafsi.
MATUMIZI MABAYA YA RASLIMALI ZA NCHI PAMOJA NA MADARAKA , INAKUWAJE RASLIMALI ZA NCHI ZITUMIKE KULINDA MALI BINASFI (HOTELI ) UNATAKIWA UELEWE PALE CHATO JAMAA ANAYO MAKAZI YAKE BINAFSI NI HERI INGEJULIKANA YUPO KWENYE MAKAZI YAKE BINAFSI NDIO APEWE ULINZI HAPO NYUMBANI NA SIO HOTELINI KWAKE
Ndio pale mkuu..nyumba yake iko nyuma ya hiyo motel Ola entrance ni moja
 
Nadhani wasaidizi wake watakua wanalipa kutumia zile rooms za lodge.. otherwise yeye pale ana nyumba yake binafsi.

Ndio pale mkuu..nyumba yake iko nyuma ya hiyo motel Ola entrance ni moja

Pesa wanazolipa wasaidizi wake anafaidika nazo nani? Si yeye huoni conflict of interest hapo?
 
Nadhani wasaidizi wake watakua wanalipa kutumia zile rooms za lodge.. otherwise yeye pale ana nyumba yake binafsi.

Ndio pale mkuu..nyumba yake iko nyuma ya hiyo motel Ola entrance ni moja
kwa ninavofahamu Rais akiwa kijijini kwake (sio Rais wa Tanzania) walinzi wake wa karibu huishi naye kwenye nyumba yake au vyumba vya sehemu ya karibu lakini wale watu wengine mfano Rubani wa ndege wao huishi hotelini.

Wakati Rais wa Zaire alipohamia kijijini kwake alienda na msafara mzima,nyumbani kwake ambapo kuna Nuclear Bunker aliishi na head of personal Security wake wawili pamoja na walinzi wengine wa karibu,watu wengine walikaa Hotelini kwa pesa ya serikali (Mobutu alikaa kijijini kwao hata miezi 5 afu akitoka hapo anaenda Ulaya)
 
Huku sasa ni kuingilia faragha za watu!. Heshimu the right to privacy, hata nyumba za watawala pia zinalindwa na kipengele cha right to private property, kuingilia ni trespass!.
P
Hapo ndipo Kikwete alituweza watz..aliyaona haya ndio maana yeye alikuaga anaenda zake overseas.SASA huyu Magu anaenda tuu Chato na kila mtu anapita barabarani anajua Rais yupo.. angekuwa visiwa vya Caribbean unadhani Nani angebother kuhoji kisiwa alichofikia analinda Nani na ni cha Nani?!
 
Hiyo ni kweli but Kwa mazingira ya Chato yalivyo..sioni options..
jamaa ni mjanja sana amejikita kwenye kuvuli cha uzalendo,ukitaka uwateke akili wananchi jiite mzalendo,ila wenzie kina Hitrel walikuwa wajanja walitumia pesa za umma pamoja na kuleta maendeleo.

Hitrel aliwatoa wajerumani katika umasikini wa kutupwa so alishi kwenye nyumba yake iitwayo Belghof porini huko juu ya milima huku akiendelea kujenga majumba mengine mengi na wananchi wakiwa na maisha mazuri
 
Mi nawaza wale watu wanaokaa kwenye hotel yake pamoja na yeye hizo gharama za hotel serikali inalipia au wanakaa buree.
 
Ukigombea Urais unaweza ukapata au usipate, na wakati unagombea unatokea kwenye nyumba yako ambayo naamini haizidi vyumba vitano vyakulala.

Ukipata Urais huwa serikali inakwenda kuyajenga makazi yako ku accommodate facilities zote za ulinzi na makazi ya walinzi? Au kila kiongozi ufanya maamuzi yakujengewa au kutokujengewa?

Pale butihama au Msasani ukiingia uoni sehemu yakuishi watu mia moja, kule msoga the same na hata kule milimani Tanga hakuna eneo kubwa hivi.

Hizo facilities ukistaafu zinakuwa Mali yako au Mali ya serikali? Kama zinakuwa Mali yako unazifanyia Nini?

Nakumbuka Zuma alijaribu kujenga kasiri kwake wakamvua madaraka sasa hivi anasota mahakamani, kwanini mataifa mengine ya Afrika hayafuati huu mfumo.

Kuwa na kasiri kunaatract kuendelea kuwa na watu wakulihudumia ambapo ili uwapate lazima lazima uzidi kubaki kwa pawer.

Tuelimishane kuhusu nyumba binafsi za watawala

Nasikia red bottom ipo kwake huko


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nawaza wale watu wanaokaa kwenye hotel yake pamoja na yeye hizo gharama za hotel serikali inalipia au wanakaa buree.
 
sasa nimepata kuelewa japo kidogo...why wenye hoteli hawawezi kupendwa
 
Labda Kwa kukusaidia tuu ni kwamba pale Chato wakati Magu hajawa Rais alitengeneza Motel nzuri sana pale ambayo kwakweli ina ubora na facilities za kisasa kuliko Ikulu ndogo nyingi hapa nchini. Na serikali ilichoongeza pale ni ulinzi madhubuti ambao ni vifaa na personnel..ni rahisi kuhamishika.Na Ile lodge kabla ilikua open to public na Nina uhakika akimaliza shughuli zake za urais biashara ita-resume.(sina hakika kama ni operational Kwa SASA)
Unamaanisha mkulu sasa lodge yake inapiga pesa coz amepangisha serikal.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wanatufanya tufikiri mara mbili kuwa wanasiasa,

Haiingii akiini mtu analalamika mwenzake kuishi kijijini. Eti ni gharama kukaa kijijini.
 
Huku sasa ni kuingilia faragha za watu!. Heshimu the right to privacy, hata nyumba za watawala pia zinalindwa na kipengele cha right to private property, kuingilia ni trespass!.
P
how can you claim privacy of your private property while you have decided to perform a public ceremony (swearing of a minister ) and addressing the national in that private property?

Sijawahi kusikia duniani kokote pale kiongozi wa umma anaaipishwa kwenye nyumba binafsi, hata kwa Tanzania ni mara ya kwanza kuona Waziri anaapishwa hotelini (private property) ukisikia kubinafsisha shughuli za umma ndio huku
 
MATUMIZI MABAYA YA RASLIMALI ZA NCHI PAMOJA NA MADARAKA , INAKUWAJE RASLIMALI ZA NCHI ZITUMIKE KULINDA MALI BINASFI (HOTELI ) UNATAKIWA UELEWE PALE CHATO JAMAA ANAYO MAKAZI YAKE BINAFSI NI HERI INGEJULIKANA YUPO KWENYE MAKAZI YAKE BINAFSI NDIO APEWE ULINZI HAPO NYUMBANI NA SIO HOTELINI KWAKE

Kabisa mkuu,

Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) ibara ya 72 inaelekeza na kutaja majukumu ya Rais kama, Mkuu wa nchi na kama kiongozi wa serikali.

Ibara ndogo ya 4 ya Katiba hiyo inasema kwamba, katika kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Ibara hii Rais ataepuka kujinasibisha, kwa namna yoyote ile, na chama chochote cha siasa au kundi lolote kwa namna ambayo inaathiri umoja wa wananchi.

Lengo la katiba siyo kumpatia mtu kujibainisha, kujimilikisha au kuhodhi nchi mara baada ya kuapishwa kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Bali Rais anaapishwa baada ya kuchaguliwa kwa kuapa kuilinda na kuiheshimu katiba bila kusahau lengo la katiba na misingi yake ya kujenga utaifa kwa matendo, kauli na mazoea yaliyojengwa mara baada ya nchi kuwa huru na iendelee kuwa huru yaani isitawaliwe kwa matakwa na utashi wa mtu au watu wachache waliopo ktk chama cha kisiasa.

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

  1. Katiba ni nini?Katiba ni waraka wa kisiasa unaowawezesha wananchi kujitambua kama Taifa. Pia katiba ni waraka wa kiutawala unaelezea mgawanyo wa madaraka na majukumu ya vyombo mbalimbali vya dola. Ni waraka wa kisheria unaongoza shughuli zote kisheria ambao ndio chimbuko la sharia zote nchini na pia ni muafaka wa kitaifa juu ya namna ya kuendesha mambo katika nchi.
  2. Lengo la Katiba ni lipi?Ibara 9 inasema kuwa lengo la katiba ni kuwezesha ujenzi wa Jamhuri ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar au wa chochote kati ya vyombo vyake na udugu na amani kutokana na kufuata siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, ambayo inasisitiza utekelezaji wa misingi ya kijamaa kwa kuzingatia mazingira yaliyomo katika Jamhuri ya Muungano.
  3. Misingi ya Katiba ni ipi?Kwanza katiba ni lazima iwezeshe wananchi kuridhiana kitaifa. Katiba lazima iwe ya kipekee kutokana na historia ya nchi husika. Katiba lazima isiruhusu ubaguzi wa aina yeyote miongoni mwa raia wake na katiba ni sheria mama katika nchi kwaiyo hakuna sharia inayotungwa itaruhusiwa kukinzana nayo.
 
how can you claim privacy in your private property while you ave decided to perform a public ceremony (swearing of a minister ) and addressing the national in tat private property? Sijawahi kusikia duniani kokote pale kiongozi wa umma anaaipishwa kwenye nyumba binafsi
Ni nyumba binafsi kama inatumika kwa mapumziko pekee, lakini inapotumika kufanya presidential duties inageuka Ikulu, hivyo ile ni Ikulu ya Chato!.
Kiswahili cha Kisiasa Kwa Watanzania: Ikulu sio Eneo Specific, ni Makazi ya Rais, Tuna Ikulu ya Magogoni, Chamwino, Sasa Hadi Ikulu ya Chato! - JamiiForums

P
 
Ni nyumba binafsi kama inatumika kwa mapumziko pekee, lakini inapotumika kufanya presidential duties inageuka Ikulu, hivyo ile ni Ikulu ya Chato!.
Kiswahili cha Kisiasa Kwa Watanzania: Ikulu sio Eneo Specific, ni Makazi ya Rais, Tuna Ikulu ya Magogoni, Chamwino, Sasa Hadi Ikulu ya Chato! - JamiiForums

P
Mkuu sio kweli kama ingekuwa hivyo Serikali isingelazimika kujenga Ikulu Ndogo uko mikoani, kwani zingekuwa hazina ulazima kwani Raisi angeweza kufikia tu Sehemu yeyeto na hiyo sehemu wakati yupo paitwe ikulu
 
Back
Top Bottom