kada maarufu
Senior Member
- Jun 14, 2017
- 149
- 82
Ni wapumbavu tu wanaoweza kudhan Rais angeweza kukaa chato muda wote huu kana kwamba anajiamulia tu, Rais ni taasisi naamin ktk hili tiss wanajua wanachofanya.
Lait shughuki za serikali hazijasimama na maamuz yanafanyika, mngetulia tu muache serikali ifanye majukumu yake na sisi tutimize wajibu wetu ikiwemo kujikinga na corona
Sent using Jamii Forums mobile app
Lait shughuki za serikali hazijasimama na maamuz yanafanyika, mngetulia tu muache serikali ifanye majukumu yake na sisi tutimize wajibu wetu ikiwemo kujikinga na corona
Sent using Jamii Forums mobile app