Hivi nyumbani kwa Rais huwa pana facilities zote za Ikulu?

Hivi nyumbani kwa Rais huwa pana facilities zote za Ikulu?

Hiyo Motel ni ya kulipia au watu wanakaa bure?
Labda Kwa kukusaidia tu ni kwamba pale Chato wakati Magu hajawa Rais alitengeneza Motel nzuri sana pale ambayo kwakweli ina ubora na facilities za kisasa kuliko Ikulu ndogo nyingi hapa nchini.

Na serikali ilichoongeza pale ni ulinzi madhubuti ambao ni vifaa na personnel..ni rahisi kuhamishika.Na Ile lodge kabla ilikua open to public na Nina uhakika akimaliza shughuli zake za urais biashara ita-resume.(sina hakika kama ni operational Kwa SASA)
 
Lengo la per diem ni fedha za kula na kulala, sisi Wasukuma ni wakarimu sana, tukiwa Usukumani kula bure, kulala bure, per diem za nini?.
P
Ni haki yake kwa maana yupo nje ya mkoa ambao ofisi yake ipo na anafanya kazi au kwa Rais na wasaidizi wake hiyo haki huondolewa?
 
Labda Kwa kukusaidia tu ni kwamba pale Chato wakati Magu hajawa Rais alitengeneza Motel nzuri sana pale ambayo kwakweli ina ubora na facilities za kisasa kuliko Ikulu ndogo nyingi hapa nchini.

Na serikali ilichoongeza pale ni ulinzi madhubuti ambao ni vifaa na personnel..ni rahisi kuhamishika.Na Ile lodge kabla ilikua open to public na Nina uhakika akimaliza shughuli zake za urais biashara ita-resume.(sina hakika kama ni operational Kwa SASA)
Mwaka jana mwezi wa 11 nimepita pale nimepiga ugali samak saafi saana na samak samaki kweli yaan kiukweli pale ni pazur saana saana na hata vyakula vyao vipo safi sana vina ubora

Sent using Jamii Forums mobile app
 
..sidhani.

..kwasababu kulikuwa na mkutano wa maraisi wa eac kwa njia ya mtandao na bwana mkubwa hakuhudhuria.
 
Rais sio taasisi,Spika wa bunge sio taasisi,jaji mkuu sio taasisi.Hao wote ni viongozi tu wa taasisi.
Ni wapumbavu tu wanaoweza kudhan Rais angeweza kukaa chato muda wote huu kana kwamba anajiamulia tu, Rais ni taasisi naamin ktk hili tiss wanajua wanachofanya.

Lait shughuki za serikali hazijasimama na maamuz yanafanyika, mngetulia tu muache serikali ifanye majukumu yake na sisi tutimize wajibu wetu ikiwemo kujikinga na corona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nahisi hili swali ni kama la uchokozi fulani hivi!.

Ni kweli unaulizia kiukweli kweli kama kuna Benki na hoteli Chato au unauliza tuu ili nikuwekee picha ya hotel the best in Chato na benki?.

Kwa kukusaidia, kwa vile mimi nimeisha wahi kufika Chato, this is the best hotel in Chato
View attachment 1441628

Naunga Mkono Uwanja wa Ndege wa Chato, Una Justification, Utakuwa kama Ggabolite, au Yamoussoukro, Watalii Watamiminika! - JamiiForums

P
Kaka Pascal naomba unisaidie Kwa kutumia kipaji na elimu yako ya journalism..Kwa mazingira ya Chato yalivyo (bahati nzuri umefika) Mr Magu Nyumbani kwake ni nyuma ya Motel anayoimiliki Kwa muda sasa, na wasaidizi wake(usalama wakiwemo) wanaweza kuamua wenyewe kutokana na uzoefu wao walale wapi..wakiona kiusalama ni Bora wakalale Mwanza Hotel au Malaika..au wakaamua kulala few meters away kutoka Kwa subject wanayoilinda(Magu in this case)...Je ni Busara kumlaumu Mr Magu ambaye imetokea akawa Rais na coincidentally nyumbani kwake Kwa mbele kuna lodge yake na wasaidizi wake wakaamua kuitumia Kwa sababu ambazo Mimi na wewe hatuwezi kuzifault!?
 
Kaka Pascal naomba unisaidie Kwa kutumia kipaji na elimu yako ya journalism..Kwa mazingira ya Chato yalivyo (bahati nzuri umefika) Mr Magu Nyumbani kwake ni nyuma ya Motel anayoimiliki Kwa muda sasa, na wasaidizi wake(usalama wakiwemo) wanaweza kuamua wenyewe kutokana na uzoefu wao walale wapi..wakiona kiusalama ni Bora wakalale Mwanza Hotel au Malaika..au wakaamua kulala few meters away kutoka Kwa subject wanayoilinda(Magu in this case)...Je ni Busara kumlaumu Mr Magu ambaye imetokea akawa Rais na coincidentally nyumbani kwake Kwa mbele kuna lodge yake na wasaidizi wake wakaamua kuitumia Kwa sababu ambazo Mimi na wewe hatuwezi kuzifault!?
Samahani Mkuu Kabulala hili ni swali very sensitive security wise, sorry jibu lake sio for public consumption na linaweza kujibiwa na wale jamaa zetu tuu!, not me!.
Sorry.
P
 
Mwaka jana mwezi wa 11 nimepita pale nimepiga ugali samak saafi saana na samak samaki kweli yaan kiukweli pale ni pazur saana saana na hata vyakula vyao vipo safi sana vina ubora

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe iko operational... nilidhani baada ya Magu kuwa Rais lodge nzima ilifanywa official presidential home...basi nadhani ni Bora watu wa state house(especially Msigwa) aweke hili Jambo wazi.. sometimes its better kutoa maelezo haya madogo madogo ili kuweka ukweli wazi..kukaa kimya kunaleta bad taste katika roho na vinywa vya wananchi. Mind you..ni asilimia zero point something ya watz wamewahi kufika Chato ukitoa wenyeji.
 
Kuna Watanzania ni watu wa ajabu sana. JPM ataendelea kuwa rais hadi pale muda wake utakapoisha wachangiaji wengi wanajifanya wajanja lakini wakumbuke ''ndege mjanja hunaswa na tundu bovu.''
 
Samahani Mkuu Kabulala hili ni swali very sensitive security wise, sorry jibu lake sio for public consumption na linaweza kujibiwa na wale jamaa zetu tuu!, not me!.
Sorry.
P
Hilo pia ni jibu Kaka Pascal.. hopefully wenye akili watakua wameelewa.
 
Labda Kwa kukusaidia tu ni kwamba pale Chato wakati Magu hajawa Rais alitengeneza Motel nzuri sana pale ambayo kwakweli ina ubora na facilities za kisasa kuliko Ikulu ndogo nyingi hapa nchini.

Na serikali ilichoongeza pale ni ulinzi madhubuti ambao ni vifaa na personnel..ni rahisi kuhamishika.Na Ile lodge kabla ilikua open to public na Nina uhakika akimaliza shughuli zake za urais biashara ita-resume.(sina hakika kama ni operational Kwa SASA)
Ipo wazi na mteja yoyote analuhusiwa kupata huduma,anatakiwa awe na barakoa na wanakifaa cha kupima joto,inaitwa JS Motel,nimepita jana hapo.wapo walinzi wa Suma Jkt.
 
Wanajukwaa,yule rafiki mkubwa wa Magu katika ukanda huu wa Afrika mashariki bwana Raila Odinga amekiri kwamba huenda rais Magufuli hapewi ushauri mzuri na amewaasa viongozi wengine wampe ushauri kwani ni msikivu. Hayo yamejiri wakati akihojiwa na kituo cha habari, japo haikuwekwa wazi ni katika jambo gani ndugu Raila ameona rais hashauriwi vizuri.

WanaJF vipi maoni yenu kuhusu ushauri wa Raila Odinga?

View attachment 1441612
Swali ni kweli rais Magufuli anashauriwa vibaya?.
Naamini Rais Magufuli ana washauri wazuri na anashauriwa vizuri tuu! , Ila... - JamiiForums

Wasaidizi wa Rais, Please Msaidieni Rais Wetu Kwenye Public . Msimuachie Kila Kitu Peke Yake! . - JamiiForums


P
 
Kila Wilaya na Mkoa vinatakiwa kuwa na Ikulu ndogo, Inawezekana yuko Ikulu ndogo Chato au kaamua kukaa kwake hazuiliwi mradi shughuli zinaenda kama kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa ninavyo kumbuka ni kuwa kuna sheria ilipitishwa wakati wa Rais Mkapa ambayo ilielekeze kuwa Nyumba Binafsi za Viongozi Wakuu wa Nchi kuwa na hadhi ya Ikulu ndogo ('State Lodge'). Hivyo Rais Magufuli kuitumia Nyumba yake ya Chato kama Ikulu ndogo si kosa kisheria..
 
Back
Top Bottom