Hivi nyumbani kwa Rais huwa pana facilities zote za Ikulu?

So huwa analala bure au anajilipa?
Kama anajilipa hiyo si conflict of interest makosa ambayo huwa anawatumbua wenzake hadharani?
I lost trust in this Fake mzalendo
Nadhani wasaidizi wake watakua wanalipa kutumia zile rooms za lodge.. otherwise yeye pale ana nyumba yake binafsi.
Ndio pale mkuu..nyumba yake iko nyuma ya hiyo motel Ola entrance ni moja
 
Nadhani wasaidizi wake watakua wanalipa kutumia zile rooms za lodge.. otherwise yeye pale ana nyumba yake binafsi.

Ndio pale mkuu..nyumba yake iko nyuma ya hiyo motel Ola entrance ni moja

Pesa wanazolipa wasaidizi wake anafaidika nazo nani? Si yeye huoni conflict of interest hapo?
 
Nadhani wasaidizi wake watakua wanalipa kutumia zile rooms za lodge.. otherwise yeye pale ana nyumba yake binafsi.

Ndio pale mkuu..nyumba yake iko nyuma ya hiyo motel Ola entrance ni moja
kwa ninavofahamu Rais akiwa kijijini kwake (sio Rais wa Tanzania) walinzi wake wa karibu huishi naye kwenye nyumba yake au vyumba vya sehemu ya karibu lakini wale watu wengine mfano Rubani wa ndege wao huishi hotelini.

Wakati Rais wa Zaire alipohamia kijijini kwake alienda na msafara mzima,nyumbani kwake ambapo kuna Nuclear Bunker aliishi na head of personal Security wake wawili pamoja na walinzi wengine wa karibu,watu wengine walikaa Hotelini kwa pesa ya serikali (Mobutu alikaa kijijini kwao hata miezi 5 afu akitoka hapo anaenda Ulaya)
 
Huku sasa ni kuingilia faragha za watu!. Heshimu the right to privacy, hata nyumba za watawala pia zinalindwa na kipengele cha right to private property, kuingilia ni trespass!.
P
Hapo ndipo Kikwete alituweza watz..aliyaona haya ndio maana yeye alikuaga anaenda zake overseas.SASA huyu Magu anaenda tuu Chato na kila mtu anapita barabarani anajua Rais yupo.. angekuwa visiwa vya Caribbean unadhani Nani angebother kuhoji kisiwa alichofikia analinda Nani na ni cha Nani?!
 
Hiyo ni kweli but Kwa mazingira ya Chato yalivyo..sioni options..
jamaa ni mjanja sana amejikita kwenye kuvuli cha uzalendo,ukitaka uwateke akili wananchi jiite mzalendo,ila wenzie kina Hitrel walikuwa wajanja walitumia pesa za umma pamoja na kuleta maendeleo.

Hitrel aliwatoa wajerumani katika umasikini wa kutupwa so alishi kwenye nyumba yake iitwayo Belghof porini huko juu ya milima huku akiendelea kujenga majumba mengine mengi na wananchi wakiwa na maisha mazuri
 
Mi nawaza wale watu wanaokaa kwenye hotel yake pamoja na yeye hizo gharama za hotel serikali inalipia au wanakaa buree.
 

Nasikia red bottom ipo kwake huko


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nawaza wale watu wanaokaa kwenye hotel yake pamoja na yeye hizo gharama za hotel serikali inalipia au wanakaa buree.
 
sasa nimepata kuelewa japo kidogo...why wenye hoteli hawawezi kupendwa
 
Unamaanisha mkulu sasa lodge yake inapiga pesa coz amepangisha serikal.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wanatufanya tufikiri mara mbili kuwa wanasiasa,

Haiingii akiini mtu analalamika mwenzake kuishi kijijini. Eti ni gharama kukaa kijijini.
 
Huku sasa ni kuingilia faragha za watu!. Heshimu the right to privacy, hata nyumba za watawala pia zinalindwa na kipengele cha right to private property, kuingilia ni trespass!.
P
how can you claim privacy of your private property while you have decided to perform a public ceremony (swearing of a minister ) and addressing the national in that private property?

Sijawahi kusikia duniani kokote pale kiongozi wa umma anaaipishwa kwenye nyumba binafsi, hata kwa Tanzania ni mara ya kwanza kuona Waziri anaapishwa hotelini (private property) ukisikia kubinafsisha shughuli za umma ndio huku
 

Kabisa mkuu,

Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) ibara ya 72 inaelekeza na kutaja majukumu ya Rais kama, Mkuu wa nchi na kama kiongozi wa serikali.

Ibara ndogo ya 4 ya Katiba hiyo inasema kwamba, katika kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Ibara hii Rais ataepuka kujinasibisha, kwa namna yoyote ile, na chama chochote cha siasa au kundi lolote kwa namna ambayo inaathiri umoja wa wananchi.

Lengo la katiba siyo kumpatia mtu kujibainisha, kujimilikisha au kuhodhi nchi mara baada ya kuapishwa kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Bali Rais anaapishwa baada ya kuchaguliwa kwa kuapa kuilinda na kuiheshimu katiba bila kusahau lengo la katiba na misingi yake ya kujenga utaifa kwa matendo, kauli na mazoea yaliyojengwa mara baada ya nchi kuwa huru na iendelee kuwa huru yaani isitawaliwe kwa matakwa na utashi wa mtu au watu wachache waliopo ktk chama cha kisiasa.

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

  1. Katiba ni nini?Katiba ni waraka wa kisiasa unaowawezesha wananchi kujitambua kama Taifa. Pia katiba ni waraka wa kiutawala unaelezea mgawanyo wa madaraka na majukumu ya vyombo mbalimbali vya dola. Ni waraka wa kisheria unaongoza shughuli zote kisheria ambao ndio chimbuko la sharia zote nchini na pia ni muafaka wa kitaifa juu ya namna ya kuendesha mambo katika nchi.
  2. Lengo la Katiba ni lipi?Ibara 9 inasema kuwa lengo la katiba ni kuwezesha ujenzi wa Jamhuri ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar au wa chochote kati ya vyombo vyake na udugu na amani kutokana na kufuata siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, ambayo inasisitiza utekelezaji wa misingi ya kijamaa kwa kuzingatia mazingira yaliyomo katika Jamhuri ya Muungano.
  3. Misingi ya Katiba ni ipi?Kwanza katiba ni lazima iwezeshe wananchi kuridhiana kitaifa. Katiba lazima iwe ya kipekee kutokana na historia ya nchi husika. Katiba lazima isiruhusu ubaguzi wa aina yeyote miongoni mwa raia wake na katiba ni sheria mama katika nchi kwaiyo hakuna sharia inayotungwa itaruhusiwa kukinzana nayo.
 
Ni nyumba binafsi kama inatumika kwa mapumziko pekee, lakini inapotumika kufanya presidential duties inageuka Ikulu, hivyo ile ni Ikulu ya Chato!.
Kiswahili cha Kisiasa Kwa Watanzania: Ikulu sio Eneo Specific, ni Makazi ya Rais, Tuna Ikulu ya Magogoni, Chamwino, Sasa Hadi Ikulu ya Chato! - JamiiForums

P
 
Mkuu sio kweli kama ingekuwa hivyo Serikali isingelazimika kujenga Ikulu Ndogo uko mikoani, kwani zingekuwa hazina ulazima kwani Raisi angeweza kufikia tu Sehemu yeyeto na hiyo sehemu wakati yupo paitwe ikulu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…