kada maarufu
Senior Member
- Jun 14, 2017
- 149
- 82
Mi nawaza wale watu wanaokaa kwenye hotel yake pamoja na yeye hizo gharama za hotel serikali inalipia au wanakaa buree.
Kama imegeuka state house cam state lodge for 40 days plus imekuwa fursa kwa investment.Ni nyumba binafsi kama inatumika kwa mapumziko pekee, lakini inapotumika kufanya presidential duties inageuka Ikulu, hivyo ile ni Ikulu ya Chato!.
Kiswahili cha Kisiasa Kwa Watanzania: Ikulu sio Eneo Specific, ni Makazi ya Rais, Tuna Ikulu ya Magogoni, Chamwino, Sasa Hadi Ikulu ya Chato! - JamiiForums
P
Ni wapumbavu tu wanaoweza kudhan Rais angeweza kukaa chato muda wote huu kana kwamba anajiamulia tu, Rais ni taasisi naamin ktk hili tiss wanajua wanachofanya
Lait shughuki za serikali hazijasimama na maamuz yanafanyika, mngetulia tu muache serikali ifanye majukumu yake na sisi tutimize wajibu wetu ikiwemo kujikinga na corona
Sent using Jamii Forums mobile app
He has a family to feed not a community to impress...Hivi Mkuu wa mkoa wa geita na yeye si ana mamlaka ya kukamata walio mkoani kwake wakati walitakiwa kuwa dar ama Dodoma kazini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi huyo shing'weng'we alikuwa mtu wa namna gani? Kule usukumani watoto wakitukanana: Shing'weng'we alimung'weng'weta mama yako. Wanazichapa!Dictator Chinondo a.k.a Shing'weng'we
Ni wapumbavu tu wanaoweza kudhan Rais angeweza kukaa chato muda wote huu kana kwamba anajiamulia tu, Rais ni taasisi naamin ktk hili tiss wanajua wanachofanya
Lait shughuki za serikali hazijasimama na maamuz yanafanyika, mngetulia tu muache serikali ifanye majukumu yake na sisi tutimize wajibu wetu ikiwemo kujikinga na corona
Sent using Jamii Forums mobile app
Dictator Chinondo a.k.a Shing'weng'we
Inaitwaje?Labda Kwa kukusaidia tuu ni kwamba pale Chato wakati Magu hajawa Rais alitengeneza Motel nzuri sana pale ambayo kwakweli ina ubora na facilities za kisasa kuliko Ikulu ndogo nyingi hapa nchini. Na serikali ilichoongeza pale ni ulinzi madhubuti ambao ni vifaa na personnel..ni rahisi kuhamishika.Na Ile lodge kabla ilikua open to public na Nina uhakika akimaliza shughuli zake za urais biashara ita-resume.(sina hakika kama ni operational Kwa SASA)
Yericko Nyererehii ni fani ya Yeriko, angepita mitaa hii angetudadavulia vizuri zaidi...
Nahisi hili swali ni kama la uchokozi fulani hivi!.Kama imegeuka state house cam state lodge for 40 days plus imekuwa fursa kwa investment.
Ila sina uhakika kama kuna huduma pana ya benki,au kama kuna Hotel ya nyota 2 na zaidi.
Ame--base kwenye kuapishana.Mawazo yake yalienda hadi "Gbadolitte"!Ikulu ya kizee kimoja kijinga kiliitwa "Kukungweno"!Aliyekuambia Chato kuna ikulu nani 😎
Ikikupendeza kuna vitu sijui kama vipo,Nahisi hili swali ni kama la uchokozi fulani hivi!.
Ni kweli unaulizia kiukweli kweli kama kuna Benki na hoteli Chato au unauliza tuu ili nikuwekee picha ya hotel the best in Chato na benki ya ghorofa?.
Naunga Mkono Uwanja wa Ndege wa Chato, Una Justification, Utakuwa kama Ggabolite, au Yamoussoukro, Watalii Watamiminika! - JamiiForums
P
Eti mkuu anavyokuwa huko analipwa per diem au ?Nahisi hili swali ni kama la uchokozi fulani hivi!.
Ni kweli unaulizia kiukweli kweli kama kuna Benki na hoteli Chato au unauliza tuu ili nikuwekee picha ya hotel the best in Chato na benki ya ghorofa?.
Naunga Mkono Uwanja wa Ndege wa Chato, Una Justification, Utakuwa kama Ggabolite, au Yamoussoukro, Watalii Watamiminika! - JamiiForums
P
Lengo la per diem ni fedha za kula na kulala, sisi Wasukuma ni wakarimu sana, tukiwa Usukumani kula bure, kulala bure, per diem za nini?.Eti mkuu anavyokuwa huko analipwa per diem au ?
Hii ni sheria ya wapi?