Labda Kwa kukusaidia tu ni kwamba pale Chato wakati Magu hajawa Rais alitengeneza Motel nzuri sana pale ambayo kwakweli ina ubora na facilities za kisasa kuliko Ikulu ndogo nyingi hapa nchini.
Na serikali ilichoongeza pale ni ulinzi madhubuti ambao ni vifaa na personnel..ni rahisi kuhamishika.Na Ile lodge kabla ilikua open to public na Nina uhakika akimaliza shughuli zake za urais biashara ita-resume.(sina hakika kama ni operational Kwa SASA)
Ni haki yake kwa maana yupo nje ya mkoa ambao ofisi yake ipo na anafanya kazi au kwa Rais na wasaidizi wake hiyo haki huondolewa?Lengo la per diem ni fedha za kula na kulala, sisi Wasukuma ni wakarimu sana, tukiwa Usukumani kula bure, kulala bure, per diem za nini?.
P
Mwaka jana mwezi wa 11 nimepita pale nimepiga ugali samak saafi saana na samak samaki kweli yaan kiukweli pale ni pazur saana saana na hata vyakula vyao vipo safi sana vina uboraLabda Kwa kukusaidia tu ni kwamba pale Chato wakati Magu hajawa Rais alitengeneza Motel nzuri sana pale ambayo kwakweli ina ubora na facilities za kisasa kuliko Ikulu ndogo nyingi hapa nchini.
Na serikali ilichoongeza pale ni ulinzi madhubuti ambao ni vifaa na personnel..ni rahisi kuhamishika.Na Ile lodge kabla ilikua open to public na Nina uhakika akimaliza shughuli zake za urais biashara ita-resume.(sina hakika kama ni operational Kwa SASA)
Ni wapumbavu tu wanaoweza kudhan Rais angeweza kukaa chato muda wote huu kana kwamba anajiamulia tu, Rais ni taasisi naamin ktk hili tiss wanajua wanachofanya.
Lait shughuki za serikali hazijasimama na maamuz yanafanyika, mngetulia tu muache serikali ifanye majukumu yake na sisi tutimize wajibu wetu ikiwemo kujikinga na corona
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi ni kama ile Gbadolite ya Zaire ya Mobutumkuu tafuta picha za ile siku amebeba mtoto,sio nyumba ni majumba makubwa tu ni kama complex fulani
Kaka Pascal naomba unisaidie Kwa kutumia kipaji na elimu yako ya journalism..Kwa mazingira ya Chato yalivyo (bahati nzuri umefika) Mr Magu Nyumbani kwake ni nyuma ya Motel anayoimiliki Kwa muda sasa, na wasaidizi wake(usalama wakiwemo) wanaweza kuamua wenyewe kutokana na uzoefu wao walale wapi..wakiona kiusalama ni Bora wakalale Mwanza Hotel au Malaika..au wakaamua kulala few meters away kutoka Kwa subject wanayoilinda(Magu in this case)...Je ni Busara kumlaumu Mr Magu ambaye imetokea akawa Rais na coincidentally nyumbani kwake Kwa mbele kuna lodge yake na wasaidizi wake wakaamua kuitumia Kwa sababu ambazo Mimi na wewe hatuwezi kuzifault!?Nahisi hili swali ni kama la uchokozi fulani hivi!.
Ni kweli unaulizia kiukweli kweli kama kuna Benki na hoteli Chato au unauliza tuu ili nikuwekee picha ya hotel the best in Chato na benki?.
Kwa kukusaidia, kwa vile mimi nimeisha wahi kufika Chato, this is the best hotel in Chato
View attachment 1441628
Naunga Mkono Uwanja wa Ndege wa Chato, Una Justification, Utakuwa kama Ggabolite, au Yamoussoukro, Watalii Watamiminika! - JamiiForums
P
Samahani Mkuu Kabulala hili ni swali very sensitive security wise, sorry jibu lake sio for public consumption na linaweza kujibiwa na wale jamaa zetu tuu!, not me!.Kaka Pascal naomba unisaidie Kwa kutumia kipaji na elimu yako ya journalism..Kwa mazingira ya Chato yalivyo (bahati nzuri umefika) Mr Magu Nyumbani kwake ni nyuma ya Motel anayoimiliki Kwa muda sasa, na wasaidizi wake(usalama wakiwemo) wanaweza kuamua wenyewe kutokana na uzoefu wao walale wapi..wakiona kiusalama ni Bora wakalale Mwanza Hotel au Malaika..au wakaamua kulala few meters away kutoka Kwa subject wanayoilinda(Magu in this case)...Je ni Busara kumlaumu Mr Magu ambaye imetokea akawa Rais na coincidentally nyumbani kwake Kwa mbele kuna lodge yake na wasaidizi wake wakaamua kuitumia Kwa sababu ambazo Mimi na wewe hatuwezi kuzifault!?
Not on tax payers expenses sir.Huku sasa ni kuingilia faragha za watu!. Heshimu the right to privacy, hata nyumba za watawala pia zinalindwa na kipengele cha right to private property, kuingilia ni trespass!.
P
Hawa ndio Great Tinkers wa JF.Mi nawaza wale watu wanaokaa kwenye hotel yake pamoja na yeye hizo gharama za hotel serikali inalipia au wanakaa buree.
Kumbe iko operational... nilidhani baada ya Magu kuwa Rais lodge nzima ilifanywa official presidential home...basi nadhani ni Bora watu wa state house(especially Msigwa) aweke hili Jambo wazi.. sometimes its better kutoa maelezo haya madogo madogo ili kuweka ukweli wazi..kukaa kimya kunaleta bad taste katika roho na vinywa vya wananchi. Mind you..ni asilimia zero point something ya watz wamewahi kufika Chato ukitoa wenyeji.Mwaka jana mwezi wa 11 nimepita pale nimepiga ugali samak saafi saana na samak samaki kweli yaan kiukweli pale ni pazur saana saana na hata vyakula vyao vipo safi sana vina ubora
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo pia ni jibu Kaka Pascal.. hopefully wenye akili watakua wameelewa.Samahani Mkuu Kabulala hili ni swali very sensitive security wise, sorry jibu lake sio for public consumption na linaweza kujibiwa na wale jamaa zetu tuu!, not me!.
Sorry.
P
Ipo wazi na mteja yoyote analuhusiwa kupata huduma,anatakiwa awe na barakoa na wanakifaa cha kupima joto,inaitwa JS Motel,nimepita jana hapo.wapo walinzi wa Suma Jkt.Labda Kwa kukusaidia tu ni kwamba pale Chato wakati Magu hajawa Rais alitengeneza Motel nzuri sana pale ambayo kwakweli ina ubora na facilities za kisasa kuliko Ikulu ndogo nyingi hapa nchini.
Na serikali ilichoongeza pale ni ulinzi madhubuti ambao ni vifaa na personnel..ni rahisi kuhamishika.Na Ile lodge kabla ilikua open to public na Nina uhakika akimaliza shughuli zake za urais biashara ita-resume.(sina hakika kama ni operational Kwa SASA)
Swali ni kweli rais Magufuli anashauriwa vibaya?.Wanajukwaa,yule rafiki mkubwa wa Magu katika ukanda huu wa Afrika mashariki bwana Raila Odinga amekiri kwamba huenda rais Magufuli hapewi ushauri mzuri na amewaasa viongozi wengine wampe ushauri kwani ni msikivu. Hayo yamejiri wakati akihojiwa na kituo cha habari, japo haikuwekwa wazi ni katika jambo gani ndugu Raila ameona rais hashauriwi vizuri.
WanaJF vipi maoni yenu kuhusu ushauri wa Raila Odinga?
View attachment 1441612
Hongera kwa kutupa jiwe gizani!wanausalama wamepata taarifa yako!!!Ili jamaa asije gombea kwa muhula wa pili!ikiwa muhula wa kwanza amejijenga hv je wapili hali itakuaje? Asije akang'ang,ania madaraka!!!!OPERATION ONE TERM PRESIDENT IS ON!!!!!!