Unavoidable Servant
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,728
- 4,545
Kuwa mwanasheria siyo lazima uwe Wakili.Nitaanza kuiangalia best. Zamani nilipenda kuja kuwa mwanasheria sema walinitishia eti mpk ukariri kesi kama 10 hivi kichwani tena kwa kingereza nikasema chaa.
Sheria itachikuaje mkondo bila kuendesha kesi!?Ni mara ngapi sheria inapindishwa hata kama ushahidi ni wa ukweli? Mimi nasema kama ushahidi upo basi sheria ichukue mkondo wake yani pasiwe na kuchelewesha hukumu.
Ana wapumbavu Hadi humu Jf wanamtetea, heti kiongozi wa kiroho tusimseme vibaya labda kasingiziwa, mtu kawafffira wanenu mnamtetea, pumbavu kabisaUwakili ni kazi ya ajabu sana kwakweli, yaani unaanzaje kumtetea mtu katili kama huyo Padri, anaeweza kubaka watoto wadogo?
Mimi ni Mkatoliki kabisa ila naomba sana sheria isipindishwe kwa huyu mtu, apewe adhabu stahiki iwe fundisho kwa wote wanaonyanyasa watoto kihisia kwa sababu ya mwamvuli wa dini.
Leo mahakamani amejificha mpaka pua huiioni kama angekua hajatenda hivyo kwanini ajifiche? Wapo wengi aina yake huko makanisani wenye mapepo kama yake, wanaowaka tamaa kwa watoto ipo siku yao.
Yaani natamani hata mahakama wamtoe kwa wazazi na wananchi wa huko Moshi huyo mtu wamponde mawe. Kuna mtu amesoma naye Seminary anashangaa kwanini hata alifikia level ya upadri wakati tabia yake ya uchafu alianza zamani.
Wakili acha kutetea upumbavu wakati ushahidi upo, maana mtoto au watoto hawawezi kudanganya na tena kwa mtu waliyeaminishwa ni mtu wa Mungu mjue mpaka wamesema wamenyanyaswa haswa.
Huyo padri inatakiwa anyongwe kabisa, na wengineo wote wachunguzwe inawezekana ndio tabia yaoKila mtuhumiwa ana haki ya kutetewa.
Tuiaxhie mahakama itende haki.
Yaani mnavyomtetea huyo padri nyie wakristo aisee, ngojea siku afanyiwe hivyo mtoto wako au we mwenyewe ukizimaKwa mtu ambaye inaonekana umeelimika unashangaza ukicomnent hivi?
Na akipimwa akagundulika ni khanisi utasemaje?
Mahakama ndio chombo cha kutenda haki na kuthibitisha pasipo shaka yoyote kwamba mtuhumiwa ni guilty.
Ohoo why aseme hivyo?Kuna dogo mmoja wa kike darasa la 5 juzi huku mtaani katoa taarifa Kwa wazazi wake kwamba kaingiliwa kote kote na msela, msala ukapelekwa huko mbele za sheria, hatua zikafutwa ikaonekana dogo hajaingiliwa wala nini.
Maswali yakabaki kibao.
Hivyo umakini ni muhumu
Usidhani kila mtu ni chizi mwenzako.Huyo padri inatakiwa anyongwe kabisa, na wengineo wote wachunguzwe inawezekana ndio tabia yao
Kuna mtu anaitwa Saul Goodman[emoji28]
Yeye anatetea wahalifu tu hata ukiua unaweza usifungwe. Kiwa hana pesa anatengeneza mchongo ili watu watende uhalifu wakamatwe awatetee.
Najua niko nje ya mada lakini...
Usidhani kila mtu ni chizi mwenzako.Yaani mnavyomtetea huyo padri nyie wakristo aisee, ngojea siku afanyiwe hivyo mtoto wako au we mwenyewe ukizima
Kwani ni wote? Tunamzungumzia huyu aliekamatwa awajibishwe yeye. Ndo kama mashekhe nao sio wote kuna wanaofanya na kukamatwa wawajibishwe,wachungaji vilevileAcha wawafffire tu hao mapadri,kiffffiiro mnapewa na hao mmmmapadri, hasira mlivyo matahila mnamalizia kwa Waislamu,
naona watetezi wa mffiraji mmekuja mbio, hivi kwani huyo mffiraji alitumwa na Waislamu abake vitoto?? Mbona akisemwa hasira mnamalizia kwa WaislamUsidhani kila mtu ni chizi mwenzako.
Nikweli kabisa, sheria ichukue mkondo wakeKwani ni wote? Tunamzungumzia huyu aliekamatwa awajibishwe yeye. Ndo kama mashekhe nao sio wote kuna wanaofanya na kukamatwa wawajibishwe,wachungaji vilevile