Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,633
Tafuta documentary inaitwa "The Keepers", Netflix, ujionee kanisa lako katoliki lilivyo tukufu na linavyo-deal na wabakaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio. Inaitwa Better Call Saull pia breaking badNi series?
Wew utakuwa madrassa walikufira mpaka masikioni😂Acha wawafffire tu hao mapadri,kiffffiiro mnapewa na hao mmmmapadri, hasira mlivyo matahila mnamalizia kwa Waislamu,
Ndio kazi ya wakili kumsaidia judge kutafsiri sheria vizuri, mahakama Ndio itasema kama ana hatia ama la. Hata daktari hawezi kukataa kuwatibu watu walionatana (penis captivus) kwenye uzinziHatari sana. Yani unakomaa kukipinga kitoto kiluchoumizwa na jitu zima tena kwa vifungu
Sababu hazijulikani. Na mzazi wa dogo alileta ugomvi mkubwa Sana kwa msela kabla kesi haijaenda mbele huko. Paliwaka Moto.Ohoo why aseme hivyo?
Wew utakuwa madrassa walikufira mpaka masikioni😂
Unasound Kama ahukumiwe tu ushahidi tayariNdio kesi iendeshwe na sheria isipindishwe ndo nilichomaanisha. Na isichukue muda mrefu haki itendeke
2003-7 pale Kuna padri alikuta na hii kadhia,alikaa ndani muda mfupi akatokaSababu hazijulikani. Na mzazi wa dogo alileta ugomvi mkubwa Sana kwa msela kabla kesi haijaenda mbele huko. Paliwaka Moto.
Dunia ina mambo mengi aisee.
Huyo padri Kama dogo imethibitika kaingiliwa. Ohoooo imekula kwake.
Anawezaje zaidi ya kukata viungo? Hy mpk wampelekee venye aliefanya ategue. Ndo maana hata huyo wakili anaweza kupelekea kumfanya judge kutafsiri sheria vibaya kwa sbb ya utetezi wake wenye mrengo wa kumdidimiza mlalamikaji.Ndio kazi ya wakili kumsaidia judge kutafsiri sheria vizuri, mahakama Ndio itasema kama ana hatia ama la. Hata daktari hawezi kukataa kuwatibu watu walionatana (penis captivus) kwenye uzinzi
Dogo kuna ishu na jamaa sio bureSababu hazijulikani. Na mzazi wa dogo alileta ugomvi mkubwa Sana kwa msela kabla kesi haijaenda mbele huko. Paliwaka Moto.
Dunia ina mambo mengi aisee.
Huyo padri Kama dogo imethibitika kaingiliwa. Ohoooo imekula kwake.
Kuna mwana aliliwa Sana na mapadri,jamaa Hadi utu uzima anakung'utwa..ana hela,so anakuhonga inaenda kula mzigoHukumu itoke mapema awajibishwe mimi nawaamini hao watoto
Duuh hii aibu sasa. Unaona madhara yake ee,mimi nimefurahi amekamatwa hii itaweka awareness hata kwa wtt wasiwaamini sana hawa wachunga kondoo na walimu wao wa madrasa sanaa mpk kila analomwambia anaona ni sawa kisa tuu ameaminishwa ni watu wa Mungu. Kuna wazazi wanawaamini sana hawa watuKuna mwana aliliwa Sana na mapadri,jamaa Hadi utu uzima anakung'utwa..ana hela,so anakuhonga inaenda kula mzigo
Kwa hiyo unataka apigwe maisha kama mama shafii wa morogoro aliyebaka kivulana?Anawezaje zaidi ya kukata viungo? Hy mpk wampelekee venye aliefanya ategue. Ndo maana hata huyo wakili anaweza kupelekea kumfanya judge kutafsiri sheria vibaya kwa sbb ya utetezi wake wenye mrengo wa kumdidimiza qmlalamikaji.
Basi sawa ngoma iwe drooaaaSiKabisa beyond doubt. Apigwe kabisa maisha
Ila unaangali madhara ya sasa na ya badae bora kinukeAn accused is innocent until proved (proven?) guilty!
Hapo kwenye ku 'prove guilty' hapo hapo ndo kunaleta hayo ma process.
Btw, hii kitu isikie tu. Akifanyiwa mwanao inauma utatamani hata mkosaji ahasiwe na akifanya ndugu yako pia utamuonea huruma hata ukiambiwa uchangie pesa ya wakili utachanga mweeeeh 😂 ( nacheka huku naogopa)
God forbid!
Mwanangu kipenzi...sitaki nimtetee huyu Padri lakini ninakupa angalizo.Uwakili ni kazi ya ajabu sana kwakweli, yaani unaanzaje kumtetea mtu katili kama huyo Padri, anaeweza kubaka watoto wadogo?
Mimi ni Mkatoliki kabisa ila naomba sana sheria isipindishwe kwa huyu mtu, apewe adhabu stahiki iwe fundisho kwa wote wanaonyanyasa watoto kihisia kwa sababu ya mwamvuli wa dini.
Leo mahakamani amejificha mpaka pua huiioni kama angekua hajatenda hivyo kwanini ajifiche? Wapo wengi aina yake huko makanisani wenye mapepo kama yake, wanaowaka tamaa kwa watoto ipo siku yao.
Yaani natamani hata mahakama wamtoe kwa wazazi na wananchi wa huko Moshi huyo mtu wamponde mawe. Kuna mtu amesoma naye Seminary anashangaa kwanini hata alifikia level ya upadri wakati tabia yake ya uchafu alianza zamani.
Wakili acha kutetea upumbavu wakati ushahidi upo, maana mtoto au watoto hawawezi kudanganya na tena kwa mtu waliyeaminishwa ni mtu wa Mungu mjue mpaka wamesema wamenyanyaswa haswa.