Uchaguzi 2020 Hivi pamoja na "promo" yote ya mabango yaliyotapakaa nchi nzima, ni kwanini CCM inapelekwa mchamchaka na Tundu Lissu?

Uchaguzi 2020 Hivi pamoja na "promo" yote ya mabango yaliyotapakaa nchi nzima, ni kwanini CCM inapelekwa mchamchaka na Tundu Lissu?

Slogan yetu watanzania ni hii:
" .......kufuli tunavunja, pombe tuna mwaga na Ikulu tunaingia, tumeamua Kwa ridhaa yetu wenyewe kumkataa shetani na kazi zake zote "
hapo kwenye kumkataa .sheitwani............. na kazi zake zote umenifanya nicheke kama fala hapa mtaani
 
Kuna msemo wa wahenga usemao kuwa kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza......................

Kwa namna CCM ilivyosambaza mabango nchi nzima, wakati wapinzani wao wa kisiasa, vyama vya upinzani, wakiwa hoi bin taabani, naweza ulinganisha usemi huo na hali halisi ya hivi sasa.

Hivi unawezaje kulinganisha mapokezi makubwa mno anayoyapata Tundu Lissu, ukimlinganisha na John Magufuli, wakati akiwa hana bango hata moja nchi nzima?

Ni wazi kuwa watu wao wa "marketing" wanafanya kazi ya ziada katika kufanya hiyo "promo" kwa kumtangaza kwa nguvu zote huyo mgombea wao wa kiti cha Urais, John Pombe Magufuli na ya wagombea wengine wa CCM.

Nimekuwa pia nikijiuliza hivi nguvu yote wanayotumia CCM ni ya nini wakati walishautangazia ulimwengu, kuwa vyama vya upinzani vimeshajifia "natural death" kutokana na utendaji wa kutukuka wa Magufuli!

Nimejiuliza pia hivi ni serikali ya CCM hii hii ambayo imekuwa ikisema kwa miaka 5 mfululizo, ikiwagomea kabisa kabisa kuwaongezea mishahara ya wafanyakazi wa Umma kwa madai kuwa serikali haina fedha hizo za kuwaongezea mishahara watumishi hao, lakini wakati huo huo wananchi tukishuhudia chama tawala cha CCM kikitapanya mali ya Umma kwa kusambaza mabango kila mahali hadi kubandika mabango hayo kwenye miti na kwenye sehemu za "kujisaidia" watu uchochoroni?

Hivi wananchi wanajisikiaje kuhusu matumizi haya mabaya kabisa ya pesa, wakati hospitali zetu nyingi, wananchi wengi wanakufa, kwa kukosa dawa muhimu za panadol?

Hivi nyinyi maccm mnawezaje kufanya "promo" kwenye mikutano yenu ya CCM, kwa kuwalipa mamilioni ya pesa wasanii maarufu akina Diamond, wakati watoto wetu wanakalia matofali, kwa kukosa madawati mashuleni?

Imenenwa na wahenga kuwa kupanga ni kuchagua..............

Kwa hiyo kwa CCM kwao wamepanga, kipaumbele chao ni kufanya "promo ya kufa mtu" kwa mgombea wao Magufuli nchi nzima hadi yanakinaisha na kuleta kichefu chefu!
Subiri matokeo utaona kama alikuwa anawapelekesha au alikuwa anapelekeshwa utakapoona % atakayo pata
 
Ccm ndio hii ambayo imekuwa ikilalamikiwa miaka yote na kuambiwa imechoka na kwamba inatumia nguvu ya dola kuendelea kuwepo madarakani sijui inaiba kura,2015 vyama vikaungana ila bado ccm ikaendelea kuwa madarakani. Sasa sijui ni stress tu zinawafanya watu kuona kwamba et sasa ndio ccm ina hali mbaya kisa mtu mmoja tu Lissu.

Kama unaamini ccm imekuwa ipo madarakani kwa sababu ya kutumia nguvu ya dola basi ni wazi kuwa ccm ipo kwenye hali mbaya muda wote na ndiyo maana inaiba kura,sasa haya ya kupamba Lissu hata sioni mantiki yake na ukizingatia cha msingi ni ccm ing'oke na sio kuishia kuipeleka mchakachaka halafu mwisho wa siku tunakuja kulalamika yaleyale ya aiku zote.
 
Subiri matokeo utaona kama alikuwa anawapelekesha au alikuwa anapelekeshwa utakapoona % atakayo pata
Nyinyi mwaka huu hamtoboi.......

Mategemeo yenu makubwa ni kubebwa na vyombo vya dola, kama vile Jeshi la Polisi, NEC na TISS, katika kuwanusuru.......
 
Fedha yote ya kampeni CCM ni fedha za umma. Hii inazidisha hasira kubwa sana. Kifo cha CCM kwa lugha yeyote ile ni tarehe 28 Oktoba 2020.
Kwani hizo mnazofanyia nyinyi ni kutoka kwa nani?
 
Kuna msemo wa wahenga usemao kuwa kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza......................

Kwa namna CCM ilivyosambaza mabango nchi nzima, wakati wapinzani wao wa kisiasa, vyama vya upinzani, wakiwa hoi bin taabani, naweza ulinganisha usemi huo na hali halisi ya hivi sasa.

Hivi unawezaje kulinganisha mapokezi makubwa mno anayoyapata Tundu Lissu, ukimlinganisha na John Magufuli, wakati akiwa hana bango hata moja nchi nzima?

Ni wazi kuwa watu wao wa "marketing" wanafanya kazi ya ziada katika kufanya hiyo "promo" kwa kumtangaza kwa nguvu zote huyo mgombea wao wa kiti cha Urais, John Pombe Magufuli na ya wagombea wengine wa CCM.

Nimekuwa pia nikijiuliza hivi nguvu yote wanayotumia CCM ni ya nini wakati walishautangazia ulimwengu, kuwa vyama vya upinzani vimeshajifia "natural death" kutokana na utendaji wa kutukuka wa Magufuli!

Nimejiuliza pia hivi ni serikali ya CCM hii hii ambayo imekuwa ikisema kwa miaka 5 mfululizo, ikiwagomea kabisa kabisa kuwaongezea mishahara ya wafanyakazi wa Umma kwa madai kuwa serikali haina fedha hizo za kuwaongezea mishahara watumishi hao, lakini wakati huo huo wananchi tukishuhudia chama tawala cha CCM kikitapanya mali ya Umma kwa kusambaza mabango kila mahali hadi kubandika mabango hayo kwenye miti na kwenye sehemu za "kujisaidia" watu uchochoroni?

Hivi wananchi wanajisikiaje kuhusu matumizi haya mabaya kabisa ya pesa, wakati hospitali zetu nyingi, wananchi wengi wanakufa, kwa kukosa dawa muhimu za panadol?

Hivi nyinyi maccm mnawezaje kufanya "promo" kwenye mikutano yenu ya CCM, kwa kuwalipa mamilioni ya pesa wasanii maarufu akina Diamond, wakati watoto wetu wanakalia matofali, kwa kukosa madawati mashuleni?

Imenenwa na wahenga kuwa kupanga ni kuchagua..............

Kwa hiyo kwa CCM kwao wamepanga, kipaumbele chao ni kufanya "promo ya kufa mtu" kwa mgombea wao Magufuli nchi nzima hadi yanakinaisha na kuleta kichefu chefu!
...wapinzani wa kisiasa wako hoi bin taabani...mh...wanawezaje kupeleka puta Ccm?
 
Masikini ni kiumbe kimoja dhaifu na jinga sana ,hataki tajiri awe na kitu ambacho yeye hana uwezo nacho kukimiliki, hanakuwa hana tofauti na mchawi.chadema hamjakatazwa kuweka mapicha na mabango.
Hivi kweli unadhani CHADEMA hata wakitaka kuweka mabango hapo ubungo interchange watakubaliwa? ile kulishika tu kabla hata ya kufikia nguzo tayari virungu!! Hakuna usawa katika hili, ndio maana nadhani wameamua kutojisumbua nayo!!
 
Bora ziwe hivi
FB_IMG_16024748513318441.jpg
 
Kuna msemo wa wahenga usemao kuwa kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza......................

Kwa namna CCM ilivyosambaza mabango nchi nzima, wakati wapinzani wao wa kisiasa, vyama vya upinzani, wakiwa hoi bin taabani, naweza ulinganisha usemi huo na hali halisi ya hivi sasa.

Hivi unawezaje kulinganisha mapokezi makubwa mno anayoyapata Tundu Lissu, ukimlinganisha na John Magufuli, wakati akiwa hana bango hata moja nchi nzima?

Ni wazi kuwa watu wao wa "marketing" wanafanya kazi ya ziada katika kufanya hiyo "promo" kwa kumtangaza kwa nguvu zote huyo mgombea wao wa kiti cha Urais, John Pombe Magufuli na ya wagombea wengine wa CCM.

Nimekuwa pia nikijiuliza hivi nguvu yote wanayotumia CCM ni ya nini wakati walishautangazia ulimwengu, kuwa vyama vya upinzani vimeshajifia "natural death" kutokana na utendaji wa kutukuka wa Magufuli!

Nimejiuliza pia hivi ni serikali ya CCM hii hii ambayo imekuwa ikisema kwa miaka 5 mfululizo, ikiwagomea kabisa kabisa kuwaongezea mishahara ya wafanyakazi wa Umma kwa madai kuwa serikali haina fedha hizo za kuwaongezea mishahara watumishi hao, lakini wakati huo huo wananchi tukishuhudia chama tawala cha CCM kikitapanya mali ya Umma kwa kusambaza mabango kila mahali hadi kubandika mabango hayo kwenye miti na kwenye sehemu za "kujisaidia" watu uchochoroni?

Hivi wananchi wanajisikiaje kuhusu matumizi haya mabaya kabisa ya pesa, wakati hospitali zetu nyingi, wananchi wengi wanakufa, kwa kukosa dawa muhimu za panadol?

Hivi nyinyi maccm mnawezaje kufanya "promo" kwenye mikutano yenu ya CCM, kwa kuwalipa mamilioni ya pesa wasanii maarufu akina Diamond, wakati watoto wetu wanakalia matofali, kwa kukosa madawati mashuleni?

Imenenwa na wahenga kuwa kupanga ni kuchagua..............

Kwa hiyo kwa CCM kwao wamepanga, kipaumbele chao ni kufanya "promo ya kufa mtu" kwa mgombea wao Magufuli nchi nzima hadi yanakinaisha na kuleta kichefu chefu!
Halafu picha yake, rangi ya chama chake, na mabango yenyewe ni uchafu mtupu! Ni Kichefuchefu kabisa. Miji imechafuka kwa mibendera yao na mabango yao. Wanashindwa kutumia fedha hizo kuajiri vijana wetu wao wameingia kwenye anasa ya kuuza sura ya Dikteta wao, Nduli Idd Amin wa Chattle.
 
CCM akili hawana yaani iwapo wangeamua badala ya kuchapisha mabango ya Magufuli wangenunua madawati sina shaka tatizo la watoto kukaa chini lingeisha Kwa Nchi mzima....

Walidhani MTU anashinda kiti cha Urais Kwa wingi wa mabango?

Slogan yetu watanzania ni hii:
" .......kufuli tunavunja, pombe tuna mwaga na Ikulu tunaingia, tumeamua Kwa ridhaa yetu wenyewe kumkataa shetani na kazi zake zote "
Namkataa shetani, na kazi zake zote na mambo yake yote........... Najitoa kwa mtu wa watu ili nimpigie kura na kumuombea kwa Mungu amlinde hadi atakapoingia Ikulu ila akasafishe nyumba yetu iliyogeuka pango la wanyangányi.
 
Back
Top Bottom