Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
-
- #101
Inasikitisha sana. Braza hadi saa hii anaomba vibarua vya Saidia fundiHizo zilizoachiwa Mali na pesa ni kuku zilizo katika miwili wa binadamu. Watoto wenye akili hawawezi kufanya utumbo kama huo.
Na wewe una mzigo unausubiria?Hakun laana ,
Maajiri wengi huwa na mifumo mizuri ya kurisishasha.
Sis watu wa kundi la kawaida mara nyingi wanaobaki wanakuchukilia urithi kama pesa ya bonus.
Ngoja nisubr nami nione nitatokaje😊🎩
Hii kweli inaweza muwa mwarobainiin. Uwajue mapematechnically haijakaa sawa,urithi unatakiwa utolewe ukiwa hai ili uwe na muda wa kuwasimamia,kuwashauri na kuwaonya,mtoto ambaye ni pasua kichwa unamfuta kabisa kwenye list ya warithi,tukifata utaratibu ambao M-ngu ameuweka kwenye masuala ya urithi basi hizi changamoto za mali za urithi zitafika mwisho.
Haifahamiki kwa undaniKitengo maalum,unazungumzia nini hapo?......inawezekana alikua anafanya kazi kitengo maalum cha kuwapiga wakina ulimboka,Sativa,....labda kitengo maalum cha kuwapiga risasi wakina Lissu.....sasa unategemea malipo ya hio kazi ya laana yatazaa matunda kweli?
We maamuma hata usheikh ni kazi piaKwani uchungaji sio kazi, hawapati kipato cha kuendeshea maisha yao.
Je ndio laana hizi?Unawafundishaje watoto na mke njia ulizotumia kupata mali ikiwa kazi Yako ni:-
1.Kitengo maalum cha kuwapiga risasi wakina Sativa,Lissu,marehemu kibao
2.kazo yako kukaa barabari kukusanya buku mbili kwa Kila gari
3.Kazi Yako ni kutoa mimba hospitali
4.Kuuza maboxi na maboxi ya pombe feki
5.......etc
Haiwezekani hao unaawaachia Mali za ushenzi namna hio wafanikiwe,haiwezekani hata iweje
UChungaji ni ajiraKwani uchungaji sio kazi, hawapati kipato cha kuendeshea maisha yao.
Kwa hiyo mkuu huo ni ujanjaTumia pesa yako kulinda afya yako Dini yako na raha zako enjoy your sweet, hamna mwanamke wakikulindia mali zako ukifa bila yeye kuingiza mwanaume mgine impossible..........
Kuna jama moja hapa mjini hana kazi ila kwasababu ni smart alf mcha mungu yeye kazi yake ni kusitri wajanne wenye uwezo wa mali kwasasa ana wake watatu wajanne wako wilaya mbili tofauti, ila mimi nilikuja kumjua baada yakuuliza rafiki yangu anae uza bucha pale jirani, mara kadhaa na muona anabadili magari nyama wana nunua kilo 5, 5, mara tatu ni kamuuliza mshikaji huyu ana kazi gani kaniambia hana kazi ila ameoa wajana wa tatu wenye mali kwahiyo hana mda wakufanya kazi zaidi ya kutumia mali za wanaume wenzake walio dedi kuwasimamia wajjane na kuwastiri katika maisha yao.
Hahaha....Hata Juzi RC wa Dae kasema azikwe kiislam ili watoto wasibaki wanatabika njaa kwa kutumia fedha nyingi za mazishi
Niliwaza kwanini kasema hivyo wakati wao ni Kundi la Tz First Class
Unawafundishaje watoto na mke njia ulizotumia kupata mali ikiwa kazi Yako ni:-
1.Kitengo maalum cha kuwapiga risasi wakina Sativa,Lissu,marehemu kibao
2.kazo yako kukaa barabari kukusanya buku mbili kwa Kila gari
3.Kazi Yako ni kutoa mimba hospitali
4.Kuuza maboxi na maboxi ya pombe feki
5.......etc
Haiwezekani hao unaawaachia Mali za ushenzi namna hio wafanikiwe,haiwezekani hata iweje
Sisi wengine tuna spirit ya kichaga....YAAN UNAWEZA SHINDA NJAA WAKATI UNAYO PESA MFUKONI...PESA YENYE MALENGO 😂🤣We mfano hata ukijiangalia , siku una ka 4 mil, yani lazima kakuwehushe, utajikuta tu unafanya matumizi ya ajabu ajabu, ya huwez kutulia.
Hongera kwa kua na mtizamo huo, nchi 32 sio habah wengine hatufikishe hata nchi 10, ila mimi navojua maisha ya ughaibuni ni sacrifice tupu, ukistaafu jitahidi ku-enjoy pesa yako hamna atakae hurumia japo unataka ku-retire na kuishi foreign land ni maaumivu mengine, .....Kwa hiyo mkuu huo ni ujanja
Alhamdulillah nina wake na watoto na nimetembea nchi 32 so far
Ninakarabia kustaafu sasa
Huenda nikaishi Spain au Italy na kumaliza mda wangu duniani
Watoto wamekuwa, jambo la kushkuru
Huyo wa kuja kula hela zangu akisubiri nife hayupo
Maisha unapanga mwenyewe Sheikh
Na Mungu anajua zaidi
Itakavyokuwa ndio hivyo
Wazungu wanaachia mirathi mpaka mbwa
Wengine wanaacha zichukuliwe na bank au hata charity
Chukulia maisha simple kwani kifo kipo pale pale
Tuombe sana tuwe na mwisho mwema tu hilo ndio muhimu
Ee kuna mchongo na usikilza japo ni kias cha kawaida ila nahisi utakuw mwanzo mzuriNa wewe una mzigo unausubiria?
Ee kuna mchongo na usikilza japo ni kias cha kawaida ila nahisi utakuw mwanzo mzuri
Aisee umeongea pointiWasomi wengi hasa waliotokea familia za kimasikini kisha wakajipata huwa wanamsemo wao kuwa "sitaki wanangu wapitie shida nilizopitia".
matokeo yake ikitokea akastaafu au akifariki watoto wake wanapata shida zaidi ya alizopitia na hakuna wa kuwasaidia.
YesBasi kaa hapa ujifunze kwa makosa ya wengine
Excessive love to your children ni hatari some time, achia watoto wajitafutie mapema ukiwa bado uko hai kwanini unakubatia watoto ambao wengine wako above 20yrs eti onaonyesha mapenzi kwa wanao, ndo kuwaharibu ulimwengu watawafundisha tena vibaya sanaaWasomi wengi hasa waliotokea familia za kimasikini kisha wakajipata huwa wanamsemo wao kuwa "sitaki wanangu wapitie shida nilizopitia".
matokeo yake ikitokea akastaafu au akifariki watoto wake wanapata shida zaidi ya alizopitia na hakuna wa kuwasaidia.
Unajidanganya sana maskini. Pambana upate mali, familia inahusu wewe watoti, wajukuu na vitukuu , endelea hivo hivo kuranda mbao, huwekezi, useme utakufa kila mtu atajitafutia, ujinga sana huu. Mimi nilifiwa na mzee wangu, sikuwahi kanyaga hata mbeya, kupitia mirathi, niliweza kufika nchi nyingi za ulaya, uwekezaji wangu ulikua, baba alituacha vizuri sana. Na nyumbani yapo magari yake, na yapo magari tuliyonunua baada ya yeye kufariki, appartments, watoto wote wamemaliza kusoma, mm ni mkubwa mzee alifariki siku tatu baada ya kupokea matokeo yangu ya chuo, anayenifata alikua form 2 anaelekea kwenye mitihani, watatu alikua darasa la nne, wa mwisho darasa la kwanza, sasa kaa na mawazo ya kimaskini. Familia yako itateseka hata ufe.Katika maisha yako usije akawa na matumaini mengi kwa watoto wako na mkeo, usijiumize sanaa eti unatengenezea watoto wako future watakuangusha tu......wafundishe maisha yao sio kuwatengenezea maisha hao hawakujua jinsi mali inavo tafutwa.
Sasa mkuu wewe ni tajiri? Au custodian wa mirathi?Unajidanganya sana maskini. Pambana upate mali, familia inahusu wewe watoti, wajukuu na vitukuu , endelea hivo hivo kuranda mbao, huwekezi, useme utakufa kila mtu atajitafutia, ujinga sana huu. Mimi nilifiwa na mzee wangu, sikuwahi kanyaga hata mbeya, kupitia mirathi, niliweza kufika nchi nyingi za ulaya, uwekezaji wangu ulikua, baba alituacha vizuri sana. Na nyumbani yapo magari yake, na yapo magari tuliyonunua baada ya yeye kufariki, appartments, watoto wote wamemaliza kusoma, mm ni mkubwa mzee alifariki siku tatu baada ya kupokea matokeo yangu ya chuo, anayenifata alikua form 2 anaelekea kwenye mitihani, watatu alikua darasa la nne, wa mwisho darasa la kwanza, sasa kaa na mawazo ya kimaskini. Familia yako itateseka hata ufe.