makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Ulimbukeni unawasumbua hao, wapo wengi tu wanatoboa kwa mali za urithi.
Mali ya urithu kama hujadhulumu, ukishindwa kutoboa ni ulimbukeni wako.
Yuko limbukeni mwingine, aliachiwa milioni 80 benk, canter ya tani 3.5, nyumba ya kupangisha vyumba kama 20 hivi, nyumba moja ya kuishi, viwanja, mashamba, gari ya kutembelea.
Kwa ulimbukeni wake vyoote hivi vikaisha, anakaa nyumba ya kupanga na ana madeni lukuki, kisa tu kula bata.
Mali ya urithu kama hujadhulumu, ukishindwa kutoboa ni ulimbukeni wako.
Yuko limbukeni mwingine, aliachiwa milioni 80 benk, canter ya tani 3.5, nyumba ya kupangisha vyumba kama 20 hivi, nyumba moja ya kuishi, viwanja, mashamba, gari ya kutembelea.
Kwa ulimbukeni wake vyoote hivi vikaisha, anakaa nyumba ya kupanga na ana madeni lukuki, kisa tu kula bata.