Hivi Pesa za kurithi na mali zake zina laana gani??

Hivi Pesa za kurithi na mali zake zina laana gani??

We mfano hata ukijiangalia , siku una ka 4 mil, yani lazima kakuwehushe, utajikuta tu unafanya matumizi ya ajabu ajabu, ya huwez kutulia.
Hata ukiwa na soda 5 tu kwa fridge, roho yako haiwezi tulia hadi hizo soda ziishe ndani ya siku moja, wakati wazungu wanakaa nazo hata week!!
 
Easy come easy go

Something that is achieved easily is also lost easily

Baba yao hakuwaandaa wanae na familia yake kujitegemea na kujisimamia baada ya yeye kufa,
Angalia familia za Wahindi na Waarabu,hua wanawaandaa watoto wao kabla,ndio maana wakifa hua biashara zinaendelea bila wasiwasi,ni nadra sana kukuta hizi familia zinauza mali za marehemu na kugawana halafu kila mtu anashika njia yake.
 
Mtu akifa pesa si zake ni za waliobaki na hazina laana yoyote Bali ni wahusika hawana muendelezo kwani wengi wamenufaika na huo urithi, swali ni je walikuwa wanamiradi na biashara wanaendesha? Ilikuwa ni kuendeleza tu, inaonekana walikuwa wanakula na kuishi nyumbani ndo maana mzee alipokata nao wameshindwa na walijua mahela hayo ni mengi hata wakitumiaje haziishi kitu kinachoonyesha walikuwa hawajui chochote kuhusu biashara, Wala kazi Wala mapato na matumizi.
Inasikitisha sana mahela mimengi yamekata ndani ya miaka miwili tu
 
Sipendi kufatilia maisha ya watu lakini bora tuzungumze ili kama kuna njia au daaa ya kuzuia hili basi tunufaike nalo


Hapa mtaani kwetu Mtoni Kijichi TMK Dar kuna mjomba Wangu alistafu Jeshini kitengo maalumu alikuwa na watoto wawili wa kike na kiume.

Huyu mzee alitumia ujana wake vizuri, alipanga uzazi vyema, kajiwekeza na kusomesha watoto.

Basi mzee wa watu akifariki baada ya siku zake kufika.

Gari lake Mama watoto akauza, alikuwa, huyu wa kiume alikuwa south Afrika. Akarudi na akahamasisha wenzake wachukuwe kiinua mgongo cha mzee.

Wakatapa 150M na wakapiga zikaisha.

Mama yao akawa anahonga dogodogo wa kumkamua.

Yule Binti Mkubwa akapata Bwana akamnunulia Bwana wake Noah ya kutembelea.

Maisha yakaendelea. Binti anapiga bata si mchezo. Viwanja na hotel kali zote anazijua. Mameni ndio usiseme na yeye ndiye anawahonga.

Wakauza Nyumba na kiwanja alichoacha mzee 400M.
Wakagawana Binti na Kaka yake na Mama akala sehemu yake.

Huyu wa kiume akanunua Fuso la Mizigo kwenda Mtawara na Lindi.

Akafilisika Fuso akauza.
Mama amebaki choka mbaya, yule dada yuko hoi anakula karanga kila siku.

Je hizi pesa zina shida gani?
sijaona fungu la kumi hapo
na pia inategemea mzee pesa alizipataje. kama ni kwa njia nzuri au mbaya basi alitakiwa awaambie namna ya kuzitumia.
 
Easy come easy go

Something that is achieved easily is also lost easily

Baba yao hakuwaandaa wanae na familia yake kujitegemea na kujisimamia baada ya yeye kufa,
Angalia familia za Wahindi na Waarabu,hua wanawaandaa watoto wao kabla,ndio maana wakifa hua biashara zinaendelea bila wasiwasi,ni nadra sana kukuta hizi familia zinauza mali za marehemu na kugawana halafu kila mtu anashika njia yake.
Tuna la kujifunza kwa hawa wenzetu
 
sijaona fungu la kumi hapo
na pia inategemea mzee pesa alizipataje. kama ni kwa njia nzuri au mbaya basi alitakiwa awaambie namna ya kuzitumia.
Kifo kinakuja ghafla unaweza kupanga kuwambia kesho kumbe usiku huu Mungu akakuchukua.
 
Na hii inaenda hadi serikalini- mifumo ya utawala.

Unakuta Rais wa Afrika anakula bata kuliko Putin au kuliko Obama
Ni ujinga tulio rithi kwenye vinasaba vyetu, unakuta muajiliwa wa wa serekali anakopa pesa benki na kujenga nyumba ya 100m na kamiliki gari la 30m ila kijijini kwao aliko somea mpaka leo wanatumia chanzo kimoja cha maji binaadamu na wanyama na wazazi wake bado wako kule kile kwenye nyumba ya tope na majani.........hapo ndo ujue akili zetu haziko business oriented tena hao ndo wasomi wetu. tuna endekeza starehe tu.
 
Ni ujunga tulio rithi, unakuta muajiliwa wa wa serekali anakopa pesa benki na kujenga nyumba ya 100m na kamiliki gari la 30m ila kijijini kwao aliko semea mpaka lro wanatumia chanzo kimoja cha maji binaadamu na wanyama na wazazi wake bado wako kule kile kwenye nyumba ya tope na majani.........hapo ndo ujue akili zetu haziko business oriented tena hao ndo wasomi wetu.
Wafrika kwa asili ni walafi.
 
Ukifikisha miaka 25 au 30 kwa Afrika na haujawahi kufanya biashara yoyote , ukija kuanzia hapo ni bahati kuimaster game tofauti na hapo utapoteza vingi kuliko kawaida , hao walizowea kuhudumiwa na sio wao kutafuta hivo pesa waliona nyingi Sana na kupoteza malengo yao huku wakijidanganya , hivo wanavyoishi kwa sasa ndio uhalisia wao kabisa
 
Nina ka experience kwa jamaa yangu tulikuwa tunasoma wote chuo, yey akikuw akitumiwa pesa anabet analiwa, basi ataishi maisha magumu huyo ya kugongea msosi kwa wana mpak tarehe ya mwisho wa mwez atumiwe tena,

Sasa kuna siku sijui akaotea ka laki 2 na sehem, usiku hio, asubuhi kaamka akapotea kwenda town , kuja kurudi kesho yake, hana kitu, hapo kalala na dem lodge, kahonga, na kaenda kula vizuri kwa meya.

Anaporudi asubh anakua hana kitu, hapo tens ataanza kuwakopa ili a beti na nyingne imuwezeshe kula.
 
Back
Top Bottom