Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani uchungaji sio kazi, hawapati kipato cha kuendeshea maisha yao.Mtoto ukimuanzia mdogo kumfundisha ishu za hela ni ngumu kuyumba. Ishu za kuwa mchungaji ni irrelevant example hapa.
mbona za waarabu zinaendelea vizazi na vizazi. Za weusi ndizo zina laana na si laana ni akili za kifamba tuSipendi kufatilia maisha ya watu lakini bora tuzungumze ili kama kuna njia au daaa ya kuzuia hili basi tunufaike nalo
Hapa mtaani kwetu Mtoni Kijichi TMK Dar kuna mjomba Wangu alistafu Jeshini kitengo maalumu alikuwa na watoto wawili wa kike na kiume.
Huyu mzee alitumia ujana wake vizuri, alipanga uzazi vyema, kajiwekeza na kusomesha watoto.
Basi mzee wa watu akifariki baada ya siku zake kufika.
Gari lake Mama watoto akauza, alikuwa, huyu wa kiume alikuwa south Afrika. Akarudi na akahamasisha wenzake wachukuwe kiinua mgongo cha mzee.
Wakatapa 150M na wakapiga zikaisha.
Mama yao akawa anahonga dogodogo wa kumkamua.
Yule Binti Mkubwa akapata Bwana akamnunulia Bwana wake Noah ya kutembelea.
Maisha yakaendelea. Binti anapiga bata si mchezo. Viwanja na hotel kali zote anazijua. Mameni ndio usiseme na yeye ndiye anawahonga.
Wakauza Nyumba na kiwanja alichoacha mzee 400M.
Wakagawana Binti na Kaka yake na Mama akala sehemu yake.
Huyu wa kiume akanunua Fuso la Mizigo kwenda Mtawara na Lindi.
Akafilisika Fuso akauza.
Mama amebaki choka mbaya, yule dada yuko hoi anakula karanga kila siku.
Je hizi pesa zina shida gani?
Mtu anakuwa Hana uchungu na pesa ambazo hajazitafuta yeye na hajui namna Gani zilipatikana ...Sipendi kufatilia maisha ya watu lakini bora tuzungumze ili kama kuna njia au daaa ya kuzuia hili basi tunufaike nalo
Hapa mtaani kwetu Mtoni Kijichi TMK Dar kuna mjomba Wangu alistafu Jeshini kitengo maalumu alikuwa na watoto wawili wa kike na kiume.
Huyu mzee alitumia ujana wake vizuri, alipanga uzazi vyema, kajiwekeza na kusomesha watoto.
Basi mzee wa watu akifariki baada ya siku zake kufika.
Gari lake Mama watoto akauza, alikuwa, huyu wa kiume alikuwa south Afrika. Akarudi na akahamasisha wenzake wachukuwe kiinua mgongo cha mzee.
Wakatapa 150M na wakapiga zikaisha.
Mama yao akawa anahonga dogodogo wa kumkamua.
Yule Binti Mkubwa akapata Bwana akamnunulia Bwana wake Noah ya kutembelea.
Maisha yakaendelea. Binti anapiga bata si mchezo. Viwanja na hotel kali zote anazijua. Mameni ndio usiseme na yeye ndiye anawahonga.
Wakauza Nyumba na kiwanja alichoacha mzee 400M.
Wakagawana Binti na Kaka yake na Mama akala sehemu yake.
Huyu wa kiume akanunua Fuso la Mizigo kwenda Mtawara na Lindi.
Akafilisika Fuso akauza.
Mama amebaki choka mbaya, yule dada yuko hoi anakula karanga kila siku.
Je hizi pesa zina shida gani?
Hahaha......pesa tamu sanaMtu anakuwa Hana uchungu na pesa ambazo hajazitafuta yeye na hajui namna Gani zilipatikana ...
Nb: hakuna laana yoyte hapo ni ULIMBUKENII tu wa pesa
Kwa hiyo laana inafata baada ya kurithi.Laana mnaletaga wenyewe baada ya kurithi hizo mali. 😁
Lakini watoto wana exposure wamesoma na kutembea nje ya nchi.Hazina Laana kinachokosekana ni Uzoefu wa kutumia hela ili ikupe hela kuhifadhi fedha na kumiliki Fedha, na Huu ndio Mwanzo wa umaskini
Uchungaji ni kazi?Hata ukiwafundisha kazi hiyo hiyo unao fanya lakini hawana passion au utashi wata iua tu, kuna jamaa ni mchungaji na anafundisha sanaa watoto wake kuchukua hiyo kazi, ila wote hamna alio muiga kabisa ni wa huni wa mtaani.
Mzee mbabe sana. Hivyo ni vitisho tu akifa vijana hawa wa 2000 watazitumbua tu😅Kuna mzee ameandika kabisa urithi. Mwisho mwa kila mali ameweka ukiuza utanifuata hapohapo.
Kazi ya uchungaji inawazuie wasidinye na kidinywa hakuna atakayeichukua😅Hata ukiwafundisha kazi hiyo hiyo unao fanya lakini hawana passion au utashi wata iua tu, kuna jamaa ni mchungaji na anafundisha sanaa watoto wake kuchukua hiyo kazi, ila wote hamna alio muiga kabisa ni wa huni wa mtaani.
Ni utumishi wenye masirahi ya pesa mkuuUchungaji ni kazi?
Watoto wa mteule?Lakini watoto wana exposure wamesoma na kutembea nje ya nchi.
Waarabu na Wahindi wana utajiri wa kurith, vipi kwao?Sipendi kufatilia maisha ya watu lakini bora tuzungumze ili kama kuna njia au daaa ya kuzuia hili basi tunufaike nalo
Hapa mtaani kwetu Mtoni Kijichi TMK Dar kuna mjomba Wangu alistafu Jeshini kitengo maalumu alikuwa na watoto wawili wa kike na kiume.
Huyu mzee alitumia ujana wake vizuri, alipanga uzazi vyema, kajiwekeza na kusomesha watoto.
Basi mzee wa watu akifariki baada ya siku zake kufika.
Gari lake Mama watoto akauza, alikuwa, huyu wa kiume alikuwa south Afrika. Akarudi na akahamasisha wenzake wachukuwe kiinua mgongo cha mzee.
Wakatapa 150M na wakapiga zikaisha.
Mama yao akawa anahonga dogodogo wa kumkamua.
Yule Binti Mkubwa akapata Bwana akamnunulia Bwana wake Noah ya kutembelea.
Maisha yakaendelea. Binti anapiga bata si mchezo. Viwanja na hotel kali zote anazijua. Mameni ndio usiseme na yeye ndiye anawahonga.
Wakauza Nyumba na kiwanja alichoacha mzee 400M.
Wakagawana Binti na Kaka yake na Mama akala sehemu yake.
Huyu wa kiume akanunua Fuso la Mizigo kwenda Mtawara na Lindi.
Akafilisika Fuso akauza.
Mama amebaki choka mbaya, yule dada yuko hoi anakula karanga kila siku.
Je hizi pesa zina shida gani?
Hiyo kazi inahusisha imani. Kwahiyo mtoto akikua mkubwa anaweza kubadili imani ikaleta shida.Kwani uchungaji sio kazi, hawapati kipato cha kuendeshea maisha yao.